TATU MZUKA

TATU MZUKA

Hello Wadau,

kwa waliocheza na ambao wanacheza TATU MZUKA,
je kuna formula yoyote kwenye kupata zile namba 3 za bahati?,
nimejaribu kuangalia matokeo na nimeona kama kuna kiformula flan.
Ki formula gani...???
 
Hello Wadau,

kwa waliocheza na ambao wanacheza TATU MZUKA,
je kuna formula yoyote kwenye kupata zile namba 3 za bahati?,
nimejaribu kuangalia matokeo na nimeona kama kuna kiformula flan.

Bahati hailazimishwi na wala usiikazie sana Misuli.
 
Bahati hailazimishwi na wala usiikazie sana Misuli.

Juzi niliweka 500 na nikapata laki 1, ila formula ya juz nimecheza jana na leo nikatoka hola, napatia namba 2 tu..
ndio nikawaza pengine kuna watu wana formula nyingne..
 
Hakuna probability pale wala nin,,,, n bahati tuu,,, mwanzo mwisho
probability ipo, odds ya kupatia ni 1/999.... ila nina iman kuna namba haziwah kushinda kabisa tangu mchezo uanze,
na kuna namba zinajirudia, hivyo probability ya kupatia yaweza ongezeka hata kufika 1/2000..au kupungua na kuwa 1/300..

Ila again kuna formula. i will hit that one day.
kuna hesabu za combination na permutation pale..
 
Back
Top Bottom