Tatua hili...

wakuvuma

Member
Joined
Sep 25, 2012
Posts
49
Reaction score
7
apa napata kauli tofaut tofaut kuhusu Computer science Udsm...sasa naomba utatuz wenu wana Jf 1. 1st yr pale wanakua na field?
2. Mtu anaesoma hii course atatakiwa pia asome mathematcs,physics au statistics? Na ka ndio je kuna ulazima wa kusoma ayo masomo?
 
field sina hakika lakini kuna hii Bachelor of Science in Computer Science na Bachelor of Science with Computer Science kama umechaguliwa

Bachelor of Science with Computer Science lazima usome na moja wapo kat ya mathematcs,physics au statistics,
 

mkuu CS accedentally nini mbona masomo core unayaulizia hivooo..
 

asante kaka! Nimekupata
 
kama una ugonjwa wa maths hiyo course haikufai
 
Paulo usije kucheza na sisi una mikono michafu. Huku Hisabati tu.
 
nimepga PGM mkuu usiogope!
Lakin TCU hawajafanya hak yan Ifm PCB wamechaguliwa BScs kibao sa na iyo maths

unahitaji basic knowledge ya maths tu! by the way maths unayoifanya chuo ipo tofauti na ile ya secondary school, chuo unatakiwa kuapply maths in real world and most of all mtu mwenye advanced background ya biology anauwezo mkubwa sana wa kufanya vizuri kuliko wengine c'se computer was designed to replicate human brain.. na mbaya zaidi BSc CS ya tz is too general.. kwasasa duniani kuna zaidi ya degree 300 za CS with different specialization
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…