health
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 325
- 39
Hello !
Tunashukuru kwa kuwa sote tuu wazima na tunapumua bila kulipia hii pumzi.
Ni kuwa kuna watu wengi sana wanasumbuliwa na magonjwa lakini hawajui namna ya kuyatatua. Wengine wapo busy sana kila siku hivyo hupotezea na kuendelea na kazi huku matatizo ya kiafya yakizidi kuongezeka. Mfano mzuri ni watu wanaosumbuliwa na fungus. Wapo wanaotumia dawa kwa siku moja na ya pili na baadaye kuacha na hali kujirudia.
Pia wengi hawafahamu madhara ya kutumia dawa kwa matibabu ya magonjwa mbalimbali. Mara utumiapo dawa zingatia namna ya kuhakikisha baadaye sumu ijikusanyayo mwilini inaondolewa na kuucha mwili ukiwa safi kiafya.
Hapa nina lishe safi asilia inayosaidia ktk kuondoa matatizo na kukuwezesha kuwa na afya njema:
>Kuondoa sumu mwilini
>Kuondoa matatizo ya fungus(zipo fungus za aina nyingi)
>Matatizo ya pressure
>Matatizo ya mgongo kuuma
>Matatizo ya uzeeni(ikiwamo joints kuwa na shida, kushindwa kula n.k.)
>Matatizo ya tumbo hasa kwa kina mama(uvimbe tumboni)
>Vidonda vya tumbo
>Matatizo yote ya ngozi
>Kuondoa uchovu na kuupa mwili nguvu
>Kuupa mwili virutubisho muhimu vinavyokosekana katika vyakula vyetu
>Matatizo yote ya uzazi(hasa kwa kukosekana kwa nguvu za uzazi)
>Matatizo ya mfumo wa utoaji taka mwilini
PIA USHAURI NA VITU GANI VYA KUZINGATIA KIAFYA SABABU YA KUKOSA UELEWA
>Bidhaa muhimu za usafi wa mwili pia(Kumbuka huwa tunatumia bidhaa zenye madhara sana bila kufahamu mfano deodorants, perfume,aftershave,lotion,toothgel n.k.)
>Bidhaa za urembo mfano lipstic, wanja,mascara,powder,foundation n.k(zote hizi zimeandaliwa bila kusababisha madhara)
>Pia lishe kwa ajili ya kuongeza au kupunguza uzito wa mwili
ZIPO BIDHAA ZAIDI YA 280 KWA AJILI YA AFYA NA NI MUHIMU KWA AJILI YAKO
Ukiwa na tatizo/swali lolote usiwe na shaka kabisa kuuliza na sababu wengi sana
hukosa kujiamini kuuliza. niandikie kwa email: ishealthy@hotmail.com
NB: Nimejitolea kukusaidia sbb hata mm nilikuwa na tatizo na likatatuliwa.
Tunashukuru kwa kuwa sote tuu wazima na tunapumua bila kulipia hii pumzi.
Ni kuwa kuna watu wengi sana wanasumbuliwa na magonjwa lakini hawajui namna ya kuyatatua. Wengine wapo busy sana kila siku hivyo hupotezea na kuendelea na kazi huku matatizo ya kiafya yakizidi kuongezeka. Mfano mzuri ni watu wanaosumbuliwa na fungus. Wapo wanaotumia dawa kwa siku moja na ya pili na baadaye kuacha na hali kujirudia.
Pia wengi hawafahamu madhara ya kutumia dawa kwa matibabu ya magonjwa mbalimbali. Mara utumiapo dawa zingatia namna ya kuhakikisha baadaye sumu ijikusanyayo mwilini inaondolewa na kuucha mwili ukiwa safi kiafya.
Hapa nina lishe safi asilia inayosaidia ktk kuondoa matatizo na kukuwezesha kuwa na afya njema:
>Kuondoa sumu mwilini
>Kuondoa matatizo ya fungus(zipo fungus za aina nyingi)
>Matatizo ya pressure
>Matatizo ya mgongo kuuma
>Matatizo ya uzeeni(ikiwamo joints kuwa na shida, kushindwa kula n.k.)
>Matatizo ya tumbo hasa kwa kina mama(uvimbe tumboni)
>Vidonda vya tumbo
>Matatizo yote ya ngozi
>Kuondoa uchovu na kuupa mwili nguvu
>Kuupa mwili virutubisho muhimu vinavyokosekana katika vyakula vyetu
>Matatizo yote ya uzazi(hasa kwa kukosekana kwa nguvu za uzazi)
>Matatizo ya mfumo wa utoaji taka mwilini
PIA USHAURI NA VITU GANI VYA KUZINGATIA KIAFYA SABABU YA KUKOSA UELEWA
>Bidhaa muhimu za usafi wa mwili pia(Kumbuka huwa tunatumia bidhaa zenye madhara sana bila kufahamu mfano deodorants, perfume,aftershave,lotion,toothgel n.k.)
>Bidhaa za urembo mfano lipstic, wanja,mascara,powder,foundation n.k(zote hizi zimeandaliwa bila kusababisha madhara)
>Pia lishe kwa ajili ya kuongeza au kupunguza uzito wa mwili
ZIPO BIDHAA ZAIDI YA 280 KWA AJILI YA AFYA NA NI MUHIMU KWA AJILI YAKO
Ukiwa na tatizo/swali lolote usiwe na shaka kabisa kuuliza na sababu wengi sana
hukosa kujiamini kuuliza. niandikie kwa email: ishealthy@hotmail.com
NB: Nimejitolea kukusaidia sbb hata mm nilikuwa na tatizo na likatatuliwa.