tatzo la chakula mashuleni

Monnature

Member
Joined
Jun 3, 2013
Posts
14
Reaction score
0
jamani sio siri tatzo la chakula mashuleni limekua tishio kubwa sana hasa mikoa ya nyanda za juu kusini (iringa, mbeya na sumbawanga) wanafunz wa a' level wanasumbuka sana..... Serikali mpo wapiiii???? Au hamulioni hiliiiiiiiiiii!!!!!?!?!!!?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…