Pre GE2025 Tauhida Gallos Nyimbo ateta na Viongozi, asisitiza kujiandikisha kwenye saftari

Pre GE2025 Tauhida Gallos Nyimbo ateta na Viongozi, asisitiza kujiandikisha kwenye saftari

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Mhe. Tauhida Gallos Nyimbo (MNEC) ambaye pia Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Magharibi tarehe 25 Februari, 2025 amekutana na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Majimbo ya Mkoa wa Magharibi ili kuhamasisha Wananchi kujitokeza kujiandikisha kwenye Daftari la Mpiga Kura

Mhe. Tauhida Gallos Nyimbo amewataka viongozi wa CCM Mkoa wa Magharibi kuhamasisha Wananchi kujitokeza kujiandikisha kwenye Daftari la Mpiga Kura linaloendelea chini ya usimamizi wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC)

Aidha, pamoja na mambo mengine, Mbunge Tauhida Gallos Nyimbo amekabidhi vifaa vya ofisini kwaajili ya kutendea kazi kwa viongozi ili kuongeza ufanisi katika shughuli zao za kila siku za kutimiza majukumu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)

Pia soma > Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

p3.jpgWhatsApp Image 2025-02-26 at 11.47.45 (3).jpegWhatsApp Image 2025-02-26 at 11.47.44 (2).jpegWhatsApp Image 2025-02-26 at 11.47.44 (2).jpegWhatsApp Image 2025-02-26 at 11.47.45 (4).jpeg
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2025-02-26 at 11.47.46.jpeg
    WhatsApp Image 2025-02-26 at 11.47.46.jpeg
    52 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2025-02-26 at 11.47.46 (3).jpeg
    WhatsApp Image 2025-02-26 at 11.47.46 (3).jpeg
    85 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2025-02-26 at 11.47.46 (8).jpeg
    WhatsApp Image 2025-02-26 at 11.47.46 (8).jpeg
    96.2 KB · Views: 1
  • WhatsApp Image 2025-02-26 at 11.47.45 (2).jpeg
    WhatsApp Image 2025-02-26 at 11.47.45 (2).jpeg
    62.3 KB · Views: 1
Back
Top Bottom