Cytochrome p450
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 5,638
- 15,044
Wakereketwa wa chama jipya ama timu ya taifa ya Aston Villa wameamua kufungua tawi jipya ya mpira huko BUZA KWA LULENGE.
Lengo likiwa ni kusapoti chama. Aidha, wanachama wa tawi hilo wameomba kama ikiwezekana wapewe VISA baadhi ya wanachama waende kuliwakilisha chama huko mjini England.
Wanasema wako tayari kushangilia hata mazoezini.
Wananchi mnalizungumziaje hili suala.
Lengo likiwa ni kusapoti chama. Aidha, wanachama wa tawi hilo wameomba kama ikiwezekana wapewe VISA baadhi ya wanachama waende kuliwakilisha chama huko mjini England.
Wanasema wako tayari kushangilia hata mazoezini.
Wananchi mnalizungumziaje hili suala.