Shy, heshima kwako,
Hongera hata kwa hapo ulipofika, siku zahesabika pia zasonga mithiri ya upepo utokao baharini kuelekea nchi kavu, let God do special thing to u guy na mungu wetu asikie haja ya moyo wako, siku moja utafika hapo unapopatamani siku zikitimu.