Tax and financial consultation services

Tax and financial consultation services

Joined
Apr 27, 2021
Posts
38
Reaction score
32
Habari zenu wakuu,

Mimi ni binti ambaye nilikua nimeajiriwa kama mhasibu kwa takribani miaka mitano. Nimejifunza mengi katika nafasi hiyo ya uhasibu kwa sababu kampuni niliyokua naifanyia kazi ilikua ni consultation company hivyo tulikua tunafanya kazi za kampuni tofauti tofauti hivyo nikapata uzoefu wa kutosha.

Nimeamua kuanzisha kitu changu mwenyewe.Nafanya both tax and financial consultation services.Kama utakua na kampuni yako au biashara yako yeyote na ungependa kuwa na mtu wa kusimamia malipo yako ya kodi ikiwemo pia E-filing, kukushauri,kukufanyia mahesabu yako ya mwaka ( financial report)pamoja na ukaguzi(auditing ), kufuatilia statutory payments kama NSSF ,WCF na mengineyo.Tafadhali karibu tukuhudumie kwa bei nzuri.

Tafadhali naomba sana support yenu ,huku mtaani siyo mchezo ukiamua kuwa self employed.Asanteni






20210422_142735.jpg
 
Naomba kujua taratibu za kikodi pale ambapo kampuni ya wazawa inapotaka kuuza hisa kwa watu ambao siyo watanzania. Je kodi hutozwa kiasi gani?
 
Habari zenu wakuu,

Mimi ni binti ambaye nilikua nimeajiriwa kama mhasibu kwa takribani miaka mitano. Nimejifunza mengi katika nafasi hiyo ya uhasibu kwa sababu kampuni niliyokua naifanyia kazi ilikua ni consultation company hivyo tulikua tunafanya kazi za kampuni tofauti tofauti hivyo nikapata uzoefu wa kutosha.

Nimeamua kuanzisha kitu changu mwenyewe.Nafanya both tax and financial consultation services.Kama utakua na kampuni yako au biashara yako yeyote na ungependa kuwa na mtu wa kusimamia malipo yako ya kodi ikiwemo pia E-filing, kukushauri,kukufanyia mahesabu yako ya mwaka ( financial report)pamoja na ukaguzi(auditing ), kufuatilia statutory payments kama NSSF ,WCF na mengineyo.Tafadhali karibu tukuhudumie kwa bei nzuri.

Tafadhali naomba sana support yenu ,huku mtaani siyo mchezo ukiamua kuwa self employed.Asanteni






View attachment 1773245
Hongera sana!! Haijalishi utapata matokeo gani ila hapa umewaza vyema!!

Mimi sina mengi.. nna ushauri tu.

1. Hakikisha unajiimarisha online na kwenye social media hasa Linkedin. Tena hakikisha kwa linkedin uwe unapost vitu vyenye thamani na ujuzi kwa watu sio unafungua acc alafu huitumii!!

2. Fungua hata ka website ka kishkaji hakikisha unawekeza katika local SEO ili ufikie watu wengi.

3. Kama unaweza fungua chanel ya youtube uwe unatoa video za kufundisha mambo ya kodi hasa kwa wafanyabiashara maana TRA wao hawataki kutoa elimu ya kodi. Yani ukiweza hii utatafutwa na watu kwa ajili ya kuwapa huduma yako maana tayari watakua washaona unaijua kazi yako huko youtube!

NB: Hapa inabidi uwe makin na chaneli maana serikali imeweka sheria (kandamizi) kwenye umiliki wa chaneli ya youtube..

4. Tengeneza tangazo kama uliloweka hapa, then share kwenye groups zako za whatsapp etc..


All in all congrats and I will you all the best!

PS: Anzia hapa JF, nenda jukwaa la biashara then andaa mada ya kufundisha mambo ya kodi kwa wafanya biashara... toa elimu kwa kina na usisahau kuweka namba zako za simu. Trust me hata kama sio leo kuna siku mtu kutoka JF atakupigia ili umuhudumie baada ya kusoma "elimu/madini" yako hapa JF!!
 
Naomba kujua taratibu za kikodi pale ambapo kampuni ya wazawa inapotaka kuuza hisa kwa watu ambao siyo watanzania. Je kodi hutozwa kiasi gani?
Kawaida ni 10% but sijajua nature ya business yako na pia kwa taratibu zote unaweza ukatutafta kwa maelekezo zaidi mkuu.
 
Hongera sana!! Haijalishi utapata matokeo gani ila hapa umewaza vyema!!

Mimi sina mengi.. nna ushauri tu.

1. Hakikisha unajiimarisha online na kwenye social media hasa Linkedin. Tena hakikisha kwa linkedin uwe unapost vitu vyenye thamani na ujuzi kwa watu sio unafungua acc alafu huitumii!!

2. Fungua hata ka website ka kishkaji hakikisha unawekeza katika local SEO ili ufikie watu wengi.

3. Kama unaweza fungua chanel ya youtube uwe unatoa video za kufundisha mambo ya kodi hasa kwa wafanyabiashara maana TRA wao hawataki kutoa elimu ya kodi. Yani ukiweza hii utatafutwa na watu kwa ajili ya kuwapa huduma yako maana tayari watakua washaona unaijua kazi yako huko youtube!

NB: Hapa inabidi uwe makin na chaneli maana serikali imeweka sheria (kandamizi) kwenye umiliki wa chaneli ya youtube..

4. Tengeneza tangazo kama uliloweka hapa, then share kwenye groups zako za whatsapp etc..


All in all congrats and I will you all the best!

PS: Anzia hapa JF, nenda jukwaa la biashara then andaa mada ya kufundisha mambo ya kodi kwa wafanya biashara... toa elimu kwa kina na usisahau kuweka namba zako za simu. Trust me hata kama sio leo kuna siku mtu kutoka JF atakupigia ili umuhudumie baada ya kusoma "elimu/madini" yako hapa JF!!
Nashukuru sana kwa ushauri .Pia nitauzingatia japo nimeweka kwenye different social networks plus WhatsApp groups nikaona nije pia huku..

Thank you again kwa ushauri.
 
Naomba kujua taratibu za kikodi pale ambapo kampuni ya wazawa inapotaka kuuza hisa kwa watu ambao siyo watanzania. Je kodi hutozwa kiasi gani?
Kwenye uwanja wa kodi hakuna watz na wasio watz, ila Kuna resident na non-resident
 
Dada jitangaze pia kwenye social media hasa zile zilizo zoeleka kama fb na Instagram utapata watu wengi.

Kwa mfano kwenye biashara ya utalii operators wengi hawajui taratibu za kodi, ukaguzi wa mahesabu ya mwaka n.k.

USHAURI NYETI: Usiwe na tamaa ya fedha, toza bei ya wastani utapata watu wengi.
 
Dada jitangaze pia kwenye social media hasa zile zilizo zoeleka kama fb na Instagram utapata watu wengi.

Kwa mfano kwenye biashara ya utalii operators wengi hawajui taratibu za kodi, ukaguzi wa mahesabu ya mwaka n.k.

USHAURI NYETI: Usiwe na tamaa ya fedha, toza bei ya wastani utapata watu wengi.
Asante sana mkuu kwa ushauri. Nitauzingatia
 
Hongera sana!! Haijalishi utapata matokeo gani ila hapa umewaza vyema!!

Mimi sina mengi.. nna ushauri tu.

1. Hakikisha unajiimarisha online na kwenye social media hasa Linkedin. Tena hakikisha kwa linkedin uwe unapost vitu vyenye thamani na ujuzi kwa watu sio unafungua acc alafu huitumii!!

2. Fungua hata ka website ka kishkaji hakikisha unawekeza katika local SEO ili ufikie watu wengi.

3. Kama unaweza fungua chanel ya youtube uwe unatoa video za kufundisha mambo ya kodi hasa kwa wafanyabiashara maana TRA wao hawataki kutoa elimu ya kodi. Yani ukiweza hii utatafutwa na watu kwa ajili ya kuwapa huduma yako maana tayari watakua washaona unaijua kazi yako huko youtube!

NB: Hapa inabidi uwe makin na chaneli maana serikali imeweka sheria (kandamizi) kwenye umiliki wa chaneli ya youtube..

4. Tengeneza tangazo kama uliloweka hapa, then share kwenye groups zako za whatsapp etc..


All in all congrats and I will you all the best!

PS: Anzia hapa JF, nenda jukwaa la biashara then andaa mada ya kufundisha mambo ya kodi kwa wafanya biashara... toa elimu kwa kina na usisahau kuweka namba zako za simu. Trust me hata kama sio leo kuna siku mtu kutoka JF atakupigia ili umuhudumie baada ya kusoma "elimu/madini" yako hapa JF!!
TRA inatoa Elimu ya Kodi kupitia chuo cha Kodi ITA Wabongo wanavyo evade tax wanasingizia Elimu inamaana wafanyabiashara wote wanataka kuwa maafisa kodi?? Consultantancy kama hivi zipo kisheria ndo zitoe hizo elimu.
 
Habari zenu wakuu,Poleni na majukumu!

Mimi ni binti ambaye nilikua nimeajiriwa kama mhasibu kwa takribani miaka mitano. Nimejifunza mengi katika nafasi hiyo ya uhasibu kwa sababu kampuni niliyokua naifanyia kazi ilikua ni consultation company hivyo tulikua tunafanya kazi za kampuni tofauti tofauti hivyo nikapata uzoefu wa kutosha.

Nimeamua kuanzisha kitu changu mwenyewe.Nafanya both tax and financial consultation services.Kama utakua na kampuni yako au biashara yako yeyote na ungependa kuwa na mtu wa kusimamia malipo yako ya kodi ikiwemo pia E-filing, kukushauri,kukufanyia mahesabu yako ya mwaka ( financial report)pamoja na ukaguzi(auditing ), kufuatilia statutory payments kama NSSF ,WCF na mengineyo.Tafadhali karibu tukuhudumie kwa bei nzuri.

Tafadhali naomba sana support yenu ,huku mtaani siyo mchezo ukiamua kuwa self employed.Asanteni
20210422_142735.jpg
 
Habari zenu wakuu,Poleni na majukumu!

Mimi ni binti ambaye nilikua nimeajiriwa kama mhasibu kwa takribani miaka mitano. Nimejifunza mengi katika nafasi hiyo ya uhasibu kwa sababu kampuni niliyokua naifanyia kazi ilikua ni consultation company hivyo tulikua tunafanya kazi za kampuni tofauti tofauti hivyo nikapata uzoefu wa kutosha.
VP, mnaandaa business plan nzuri kwa wateja wenu pia?
 
Back
Top Bottom