Tax fors wa yanga kujiudhuri

wakimataifa.

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
1,625
Reaction score
558
Sioni sababu yoyote kuwasakama tax fosi kijiudhuru
Kuliko watu wanao kuwa wanang'ang'ania madaraka
 
Kumbe huku nako kuna mgogoro wa chini chini
 
Hawa ndo walikuwa wanatumika sana kweye ndumba na kuhongahonga wachezaji ili mradi tu timu ishinde kwa namna yoyote ile..
 
timu ilikuwa inahujumiwa adi na Lipuli na Mbao wakati wao wapo busy kukusanya gate 'collections' na kuuchapa usingizi, nyambaf zao wakafie mbele ya safari...… ona barua yenyewe na hiyo meza ya fomaika vilivyo chakaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…