Taya limeshikamana hakuna kuachama (hakuna kula)

Taya limeshikamana hakuna kuachama (hakuna kula)

teac kapex

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2011
Posts
470
Reaction score
137
Wana jf msaada wenu tafadhali nina mzazi wangu aliteleza akaanguka bahati baya jiwe lilimchana vibaya sehemu ya kichwani akapelekwa hosp akatibiwa na kuondoka alishonwa nyuzi kadhaa baada ya siku hali ikabadilika akawa hawezi kula wala kuongea leosiku ya pili hadi hapo sijui hili tatizo la kutoachama sababu kubwa itakuwa nini, hapa nipo hosp lkn kwa vile leo ni siku ya sikukuu madaktari wakubwa hawapo waliopo ni manesi tu.
 
pole.. inaweza kuwa alipata maumivu au kutenguka temporomandibula joint (tmj). au amepata tetanus. mrudishe before the condition gets worse
 
Kuna uwezekano kwamba ile joint ya taya (TMJ) imeteguka!
Tafadhali mpeleke kwa madaktari wa meno watamsaidia! Pole sana mkuu!
 
Back
Top Bottom