Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 369
- 747
Mengi huyu marehemu rejinadi au Kwa mengi yupi?Utopolo mnaumia Kwa Mengi...!
Na wewe mhamiaji haramu tutakurudisha kwenuKlabu yeti pendwa imepata mafanikio makubwa ukiacha Yale ya WhatsApp channel MCHEZAJI wetu Inonga amefika nusu fainali afcon. Pia fifa wametutaja Kwenye klabu 12 ambazo zitawania club world cup ambapo Sisi makolo wizard ni WA 7 Africa wakati zinatakiwa timu nne tu. Hayo ni mafanikio yetu
Aanze kurudishwa mkimbizi mkandwaji, Kisha kanjibahi mdhamini wenu, na Mimi nitarudi kwetu Al Ghazal SudanNa wewe mhamiaji haramu tutakurudisha kwenu
Ile timu yenu ya Luo Union bado ipo?Aanze kurudishwa mkimbizi mkandwaji, Kisha kanjibahi mdhamini wenu, na Mimi nitarudi kwetu Al Ghazal Sudan
Sawa wewe weka mafanikio ya Yanga msimu huu.Klabu yeti pendwa imepata mafanikio makubwa ukiacha Yale ya WhatsApp channel MCHEZAJI wetu Inonga amefika nusu fainali afcon. Pia fifa wametutaja Kwenye klabu 12 ambazo zitawania club world cup ambapo Sisi makolo wizard ni WA 7 Africa wakati zinatakiwa timu nne tu. Hayo ni mafanikio yetu
Una utoto mwingi sana!Mengi huyu marehemu rejinadi au Kwa mengi yupi?
Zile 5 mlizokula kwa mkapa 😀Sawa wewe weka mafanikio ya Yanga msimu huu.
Zingatia neno makombeSawa wewe weka mafanikio ya Yanga msimu huu.
Ila Luc Eymael alipowaita nyie nyani alikuwa sahii kwa [emoji817] %Rage aliwaza mbali sana alipowaita mbumbumbu.
kiukweli wenye nchi hii ni kabila moja tu la wagogo ambao wanaongoza duniani kwa uwezo wa kutembea kwa miguu umbali mrefu zaidi bila kula kitu chochote zaidi ya ubuyu ndo maana Supika mstaafu Nguguyao akawaka kwa uchungu na kuachia ofisi akipinga kuuzwa nchi yake kupitia mikopo iliyopitiliza,Aanze kurudishwa mkimbizi mkandwaji, Kisha kanjibahi mdhamini wenu, na Mimi nitarudi kwetu Al Ghazal Sudan