Taylor swift's Euros tour concert

Taylor swift's Euros tour concert

vibesen xxx

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2022
Posts
3,187
Reaction score
6,620
Huyu binti ni balaa

Ana mwezi mmoja yupo anaizunguka ulaya anakusanya paund

Kwa miaka ya karibuni sijapata kuona msanii wa kike mwenye influence km huyu

Anapendwa sana kwa nchi zilizoendelea ila naona kwa waafrica hajapenya labda south Africa tu ndio anaheshimika

Uwanja wa bernabu wa real madrid ulitapika

Jana kwa malkia Wembley arena watu wamekanyagana

Je sisi wabantu hatujui mziki mzuri?
Kwasababu ukisikiliza redio station wabantu wanajipendea zao kina Rihanna tu

Hii tour yake lazima impe utajiri

Congratulations to you young lady ina inspire kuona binti mdogo ana break records
 
1000028363.jpg
 
Wazungu wana mpenda sana.

Ila mashabiki zake wajinga sana wanasema huyo manzi ni mkali kuliko MJ, Rihanna, Beyonce, Madonna ni kama wana vichaa kwa huyo manzi.

Machoko wengi ndio mashabiki zake wana mpenda sana.
 
Anaimba country, sijui kama amabebadilisha siku hizi.

Muziki wa country haupendwi na watu weusi

Watu weusi ni miziki yao ni matusi kama kusifu ngono, uhalifu, pombe, madawa ya kulevya, kubinua matako na kucheza uchi,
Mambo kama pipi ya kijiti, kwa mpalange, binua chura n.k, kwa bongo
Bitches, hoes, pimp, hood life, kwa Black Americans
 
Anaimba country, sijui kama amabebadilisha siku hizi.

Muziki wa country haupendwi na watu weusi

Watu weusi ni miziki yao ni matusi kama kusifu ngono, kubinua matako na kucheza uchi,
Mambo kama pipi ya kijiti, kwa mpalange, binua chura n.k
Agiza kinywaji chochote nitalipa. Music wa country ndo my favorite music unahitaji akili kubwa sana huwezi waimbisha wazungu nyege nge nyegezi..
Au nna hamu ya kuto kutka na wewe...
Au uwaimbishe Naskia nyee.
Music wa country unadumu miaka nenda rudi hauchuji masikioni..
Msikikize don william au kenny rogers
 
Agiza kinywaji chochote nitalipa. Music wa country ndo my favorite music unahitaji akili kubwa sana huwezi waimbisha wazungu nyege nge nyegezi..
Au nna hamu ya kuto kutka na wewe...
Au uwaimbishe Naskia nyee.
Music wa country unadumu miaka nenda rudi hauchuji masikioni..
Msikikize don william au kenny rogers
Mwenyewe Napenda muziki classic
 
Agiza kinywaji chochote nitalipa. Music wa country ndo my favorite music unahitaji akili kubwa sana huwezi waimbisha wazungu nyege nge nyegezi..
Au nna hamu ya kuto kutka na wewe...
Au uwaimbishe Naskia nyee.
Music wa country unadumu miaka nenda rudi hauchuji masikioni..
Msikikize don william au kenny rogers
Hivi MJ,Bob Marley walikuwa wakiimbisha country

Mashairi yake yote huyo manzi unayajua ?
 
Hao sasa wapo mainstream siku hizi? Nazungumzia miziki mainstream ya vijana kama akina Diamond, Rayvanny, Sholo Mwamba kwa Tz au akina Drake, Lil Wayne, Migos etc huko US
Kwa hiyo watu weusi wameanza kuwapo leo duniani ?

Wewe ni mjinga.
 
Yule nyimbo zake nyingi zinasoma billion view sasa utalinganisha na milioni 3 .Yule ni msaniii hatafuti kiki na nyimbo zake ni tam sana kwa watu tusio penda mivurugu kengine mm nakaelewa ni Katy perry ,adele na sia.Mm sina nyimbo za kina zuchu sio nyimbo zangu mm ni za mbele tu watu wanaojua mziki ni nini.
 
Back
Top Bottom