Haha hivi unajua kama Taylor swift angeolewa na Taylor Lautner wote wangekua wanaitwa Taylor Lautner??Nashukuru hawakuoanaForest Hill Kuja......
Wivu nayooooo!!!Haha hivi unajua kama Taylor swift angeolewa na Taylor Lautner wote wangekua wanaitwa Taylor Lautner??Nashukuru hawakuoana
Kama ni mpenzi wa "Oyiii babaaa weka baharia weka, au chino wanaman chino wanaman chino wanaman..." ni ngumu kukielewa hicho kichwa.Nyimbo zake zenyew za hovyo ndio zipenye Africa hamfikii hata Beyoncé sema wazungu wanasupport ana sana,,,Kanye alishawahi kumchana kwenye Grammy wanampendelea nyimbo hata hazieleweki
Ukiwa nalo wewe inatisha mkuu.
Hizi ndo album zangu bora kwakeHivi MJ,Bob Marley walikuwa wakiimbisha country
Mashairi yake yote huyo manzi unayajua ?
Mimi Red na FearlessHizi ndo album zangu bora kwake
Taylor Swift’ (2006)
Reputation’ (2017)
Ukiwa nalo wewe inatisha mkuu.