geofreyngaga
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 658
- 946
Katika harakati za kumjengea mteja wetu ghorofa lake hapa Tabata Chang'ombe Dar es Salaam wkt tuna chimba msingi tukakutana na chungu kidogo kizuri kikiwa kimevalishwa shanga nyeupe nzuri. Vijana wakapaniki na karuka nje ya msingi alaf wakarudi tena kwa tahadhali na kukiangalia kama kitaleta mbwembwe zozote. Thank God kila kitu kilisonga vema.
WEKA TSHS33M MEZANI TUKUJENGEE MPAKA KUPAUA NYUMBA YA VYUMBA 3(1mastee, 2kawaida), SITTING ROOM, KITCHEN, PUBLIC TOILET, DINING, STORE NA VERANDA 2
Call/WhatsApp 0652494919
WEKA TSHS33M MEZANI TUKUJENGEE MPAKA KUPAUA NYUMBA YA VYUMBA 3(1mastee, 2kawaida), SITTING ROOM, KITCHEN, PUBLIC TOILET, DINING, STORE NA VERANDA 2
Call/WhatsApp 0652494919