RIP kijana na umetuachia changamoto kubwa sana kwa vijana wenzako wa kiTz hasa wale wenye fani ya muziki wakiamini muzi unge watoa kimaisha kumbe uwepo wa clouse unakandamiza haki zao na kusababisha kujiingiza kwenye mambo yanayohatarisha maisha yao na hata kuwa nje ya maadili ya kiTz, but pumzika kwa amani!
R.I.P Mangwea,nilikua napenda sana ulivyokuwa una flow,ulikuwa unique,yaani mtu akisikia tu unamwagika anajua this is Ngwea,bwana amaetoa bwana ametwaa, jina la bwana lihimidiwe.:disapointed::disapointed: