Tazama picha 22 zikionyesha mwili wa Albert Mangwea ukisubiriwa kupokelewa hivi sasa

Mkuu kama upo kwenye msafara tujuze mlipo hapa tazara saa nzima tupo kwenye foleni
 
RIP broda Mangwair.
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1370354714525.jpg
    51.1 KB · Views: 362
RIP kijana na umetuachia changamoto kubwa sana kwa vijana wenzako wa kiTz hasa wale wenye fani ya muziki wakiamini muzi unge watoa kimaisha kumbe uwepo wa clouse unakandamiza haki zao na kusababisha kujiingiza kwenye mambo yanayohatarisha maisha yao na hata kuwa nje ya maadili ya kiTz, but pumzika kwa amani!
 
Upumzike panapokustahili mdogo wangu Ngwear.
 
He was a FREE STYLE ICON I liked him alot. Am just playing his songs repeatedly
 
Aisee..! so sad. Bwana alitoa na bwana ametwaa jina la bwana libarikiwe. Poleni wote mlioguswa na msiba huu. Mungu awape faraja.
 
R.I.P Mangwea,nilikua napenda sana ulivyokuwa una flow,ulikuwa unique,yaani mtu akisikia tu unamwagika anajua this is Ngwea,bwana amaetoa bwana ametwaa, jina la bwana lihimidiwe.:disapointed::disapointed:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…