Tazama Picha hii kisha jibu maswali

big-diamond

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2009
Posts
422
Reaction score
555
1. Hii ni picha ya aina gani?

2. Eleza aina ya hali ya hewa ya eneo hili?

3. Taja mazao matatu yanayoweza kulimwa kwenye ukanda wenye iyo hali ya hewa?

4. Jadili vitu vitatu unavyoviona kwenye picha hii, ukielezea umuhimu na madhara yake.

MUDA: Masaa Matatu
 
1. Horizontal Photograph
2. Tropical rain forest
3. Coffee, Cocoa and Banana.
4. (i)Kiba100, madhara yake hakifai kuungwa kwenye mchuzi. Faida ukigegedea unazalisha kama kawa kama mwenye hogo.
(ii) Kitambi, madhara yake kinafanya usiwe flexible. Faida kinakufanya uonekane Don.
(iii) Majani mengi, madhara yake yanakufanya usiyaone mazingira ya mbali hivyo kukufanya iwe rahisi kushambuliwa na adui. Faida yanakukinga na jua na mvua.
 

"Pale unapofika mbiguni na unakuta pia kuua mbu ni dhambi kubwa " ndo pozi utakalo weka hilo
 
umetisha mkuu
 
Umetisha hasa 4(i) hasa kwenye faida ,,,kumbe hogo ni ziada tu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…