Ebu tazama picha hizi kwenye blog moja na jiulize utampigia mgombea yupi kati ya hawa tunaowana kwenye maeneo yetu
gonga hapa
...Jana :confused2:JK ameahidi kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa misenyi kule bukoba kama akichaguliwa tena kuongoza nchi...:confused2::confused2::confused2:Hahahaaa, nimeipenda zaidi hii. Kasi mpya nguvu mpya ari mpya. Najiuliza hivi ile kasi ilikuwa ni ya kwenda wapi vile? Sasa hivi wamekuja na kasi zaidi ari zaidi nguvu zaidi! Hapa najiuliza ya kufanya nini? Nawashangaa wanaoipapatikia CCM.
ccm hapana kwa waelevu,Ebu tazama picha hizi kwenye blog moja na jiulize utampigia mgombea yupi kati ya hawa tunaowana kwenye maeneo yetu
gonga hapa
kuna watu wanasamba uongo huko vijijini kuwa ukiwapigia kura wapinzani utajulikana na utachukuliwa hatua, sasa watu wanaolishwa uongo huo kwa vile hawana hata elimu wanaogopa kupiga kura kwa wapinzani eti watafahamika na kuchukuliwa hatua kali na viongozi wao mi vijiji .
...Jana :confused2:JK ameahidi kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa misenyi kule bukoba kama akichaguliwa tena kuongoza nchi...:confused2::confused2::confused2: