Tazama: Said Fella ni mshamba Not In a Way - huyu ni mshamba Per sé

Hahahahaaaa uwiiiiiiii!Ujue nimecheka sana!Nilikua najiuliza huyu mtu kaenda wapi?
Mbona huyu chige anafanana kimtazamo naye?
Nikagundua ndio wewe,wewe!
Unaona sasa... kumbe kweli ulini-miss halafu husemi kwamba ulini-miss! Mwenzako ilikuwa nikiku-miss nakuja nakuchungulia, kisha huyoooo... kimya kimya, sikusemeshi wala sikuulizi ingawaje kuna siku ilibaki kidogo tu... nikaona wale waliokuwa wanashuhudia picha la Kihindi wanaweza kushitukia, kwamba eh, kumbe Amitabh Bachchan!!
 

Hahahaaaa poleeee,hata hapa wenye akili watakua wameshakujua.
Vipi naona umepigwa life ban?...lol
Kulikoni???
 
Hahahaaaa poleeee,hata hapa wenye akili watakua wameshakujua.
Vipi naona umepigwa life ban?...lol
Kulikoni???
Hamna cha life ban wala nini... hilo la kunijua, ni kwavile tu nimeamua nisibadilishe sauti; vinginevyo; achana na mimi bhana! Nikiamua nile chimbo; unaweza kunitafuta karne mzima na usinione... kijana wa kiume usishangae kukuta naongea sauti ya bibi kizee; nachanganya miherufi mikubwa na midogo humo humo, na penye kuandika neno ustaarabu wala sioni taabu kuandika ustalabu ili mradi tu usinijue!
 

Haha haaaaaaaaa
 

duuuuuuuuuhuuu!!!!!!
wewe sijui km sikujui!
 
mmeshaigeuza chit chat sio na wewe nifah ndo nini kufurai mpk sidiria inavuka
 
Last edited by a moderator:
kiukweli fella kwa muonekano ni mshamba sana ila jamaa ni bonge la mjanja la kupanga mawazo kuwa pesa....siyo leo jamaa janja wayback kabla halijatoka dizonga na kuja bongo na kuanza kupiga mpunga kwenye music kwa kuanzia na juma nature!
 
kiukweli fella kwa muonekano ni mshamba sana ila jamaa ni bonge la mjanja la kupanga mawazo kuwa pesa....siyo leo jamaa janja wayback kabla halijatoka dizonga na kuja bongo na kuanza kupiga mpunga kwenye music kwa kuanzia na juma nature!
Tena kwa mimi mtu ninayemjua Fella enzi tunamuita Saidi, wala siwezi kumuelewa mtu akisema Fella ni mshamba! Fella long time dah, sina hata cha kusema... alipoona Bongo haisomeki, akazama kwa Madiba... kule nako hakutaka kujisahau na kuona amefika mwisho wa reli, akaamua kurudi tena Bongo na tangu arudi, amekuwa aki-mprove kimichongo mwaka hadi mwaka!!
 
Kuna tatizo kwani?
washaanza wivu hao... hapo tu, sijanyuka suti zangu... nikishazinyuka watu si watasimama mapigo ya moyo; kuona eh, hili jamaa lisharudi lianze tena kumsarandia Ifa!
 
huyo ndo aliyeandika "happy birthday my son shamira" kwenye page yake ya insta.... Jamaa wakampa makavu sema daughter huyo ni mtoto wa kike akafuta fasta!!

aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Said Fella ndio meneja bora kwa sasa hapa Tanzania..kwa mtazamo wangu
 
Kwa taarifa yako tu mtoa mada,hao unaowaona washamba hawajui kuvaa ndo wanaojua kutafuta pesa.kikubwa anajistiri mwili.hao unaoona wajanja wa kuvaa c ndo masharobaro wa kujibweteka.
 
sixgates kuna huyu mwingine nasikia wanamuita suka yupo clouds fm na yeye ana nafasi gani ya kumbania au kumtoa mwanamuziki?
 
Last edited by a moderator:

Sioni ni kwa vipi nikubaliane na wewe, coz kama hao Miungu wana uwezo wa KUinfuence Clouds, si bado kuna vyombo vingine vina nguvu tu, kama ITV/REDIO ONE au STAR TV/RFA...unataka kuniambia hao jamaa wanacontrol huko kote ?..kama ndivyo basi watakuwa ni zaidi ya Miungu watu.

Kwamba utafanya kazi nzuri alafu vyombo vyote visubiri "go ahead" ya hao jamaa ?....ITV kuna mpaka kipindi kinaitwa "hawavumi lakini wamo" unataka kuniambia Zomboko hapokei msanii bila kushauriwa na hao Miungu unaowataja ? mmmmmmh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…