OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Simba twendeni Zambia tukaongeze pesa ase, jamaa anajua hadi anaboa
Mtaalam kukupa assist haitaji kuwa karibu na goli.Hata akiwa mita 60 anaweza kufusha mpira ukafunga.
Watangazaji mtamaliza majina yote RB..Magician Left footer...Soft touches...maestro...halafu mwenyewe hata haringi
Yanga mtakoma kifo kiko pale pale
Sio kidogo maana Chama wameshakubali wameshindwa halafu anakuja mwingine tena tumewapokonya wakati wao wapo Ethiopia kumfata huku wakala wao anasaini mkatabaManyani wanaona wivu...
Nakwambia Simba yamoto sana mkuu... KAHATA anakaa benchi.?Kikosi cha Simba in Ubakaji kwa ligi ya Bongo....haiwezekani mchezaji kama Kahata..Ajibu...Nyoni...Morison nk. waanzie benchi halafu ufikirie eti unapambana na hicho kikosi..hata Azam in swala la muda kukaa kileleni...Yanga alikaa kileleni nusu nzima ya kwanza kipindi cha Zahera.
We acha tu mkuu...Yaani hata Gadiel Michael na Beno Kakolanya pia wanakaa benchi...hii Simba si kama wanavyoichukulia kimazoea hii ni kitu kingine tofauti.Nakwambia Simba yamoto sana mkuu... KAHATA anakaa benchi.?
AJIBU, MORRISON wanakaa benchi