Tazama video za wana CHADEMA wakicheza kwa furaha huku wakisubiri kumpokea Rais

Tazama video za wana CHADEMA wakicheza kwa furaha huku wakisubiri kumpokea Rais

Nyabukika

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2022
Posts
1,440
Reaction score
1,046

Watu wengine walitaka kuona hii video wanachadema na vyama vingine walivyoungana kumpokea Rais hii inaonyesha kuwa yale maridhiano yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu yameanza kufanya kazi.

Kuna watu wengine pia wamesema kuwa kutokana na kazi kubwa aliyoifanya Rais Samia Suluhu ile Shahada aliyotunukiwa Rais Dr. Samia Suluhu ni halali maana amefanya kazi kubwa ya kutuunganisha pamoja na siku zote huwa anasisitiza tuungane kwasababu tunaijenga Tanzania moja hongera sana Rais Samia Suluhu kwa kufanikisha hili Maendeleo haya chama.
 
Hizi hadaa zinawasaidia nini nyie maccm? Kuwavisha wanachama wenu nguo za chadema na bendera huo ni utoto na ushamba
Machadema yanamuunga mkono mama ili kumkomoa marehemu na sukuma gang
 
Machadema yanamuunga mkono mama ili kumkomoa marehemu na sukuma gang
Hizo siasa za kipuuzi tunawaachia wenyewe Sukuma Gang na Msoga Gang mumalizane sisi tuna wazoom tu. Marehemu yuko zake jehanam anapokea kibano chake hatuna time na wafu sisi
 
View attachment 2433529
Watu wengine walitaka kuona hii video wanachadema na vyama vingine walivyoungana kumpokea Rais hii inaonyesha kuwa yale maridhiano yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu yameanza kufanya kazi.

Kuna watu wengine pia wamesema kuwa kutokana na kazi kubwa aliyoifanya Rais Samia Suluhu ile Shahada aliyotunukiwa Rais Dr. Samia Suluhu ni halali maana amefanya kazi kubwa ya kutuunganisha pamoja na siku zote huwa anasisitiza tuungane kwasababu tunaijenga Tanzania moja hongera sana Rais Samia Suluhu kwa kufanikisha hili Maendeleo haya chama.
Nawe umeingia hili chaka la uniform za CDM 🤣🤣🤣🤣
 

CHADEMA watrngeneze sare nyingi,hiyo ni fursa kibiashara,kwasababu sare zitanunuliwa na wana-CHADEMA halisi na wana-CCM wanaoigiza kua ni CHADEMA.
 
Niliwasema chawa wa ccm majuzi moderators wa jamiiforum wakanipiga ban. MDOMO KOMA.
Tofautisha chawa na mzalendo mzee mimi ni mzalendo nikiona siasa haijageuzwa kuwa uadui nafurahi sana inatakiwa wote tumuone Rais Samia Suluhu kama kiongozi wa wananchi wote na sio kiongozi wa chama
 
Hizi hadaa zinawasaidia nini nyie maccm? Kuwavisha wanachama wenu nguo za chadema na bendera huo ni utoto na ushamba
Hao ni Chadema og mzee Rais Samia Suluhu alitutaka tuungane na sasa tumeungana kuijenga Tanzania moja
 
Machadema yanamuunga mkono mama ili kumkomoa marehemu na sukuma gang
Hakuna cha kukomoa hapo Chadema wanajua Rais ni wa watanzania wote na sio Rais wa chama kwahiyo wana sababu nyingi sana za kuungana kumpokea Rais Samia Suluhu
 

CHADEMA watrngeneze sare nyingi,hiyo ni fursa kibiashara,kwasababu sare zitanunuliwa na wana-CHADEMA halisi na wana-CCM wanaoigiza kua ni CHADEMA.
Hakuna muigizaji mzee Rais Samia Suluhu anapenda wananchi wake tuwe wamoja
 
Hizo siasa za kipuuzi tunawaachia wenyewe Sukuma Gang na Msoga Gang mumalizane sisi tuna wazoom tu. Marehemu yuko zake jehanam anapokea kibano chake hatuna time na wafu sisi
Umetumia nini kuwaza uliyoandika hapa unaonekana hauna akili kabisa maana ata wewe utakufa
 
View attachment 2433529
Watu wengine walitaka kuona hii video wanachadema na vyama vingine walivyoungana kumpokea Rais hii inaonyesha kuwa yale maridhiano yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu yameanza kufanya kazi.

Kuna watu wengine pia wamesema kuwa kutokana na kazi kubwa aliyoifanya Rais Samia Suluhu ile Shahada aliyotunukiwa Rais Dr. Samia Suluhu ni halali maana amefanya kazi kubwa ya kutuunganisha pamoja na siku zote huwa anasisitiza tuungane kwasababu tunaijenga Tanzania moja hongera sana Rais Samia Suluhu kwa kufanikisha hili Maendeleo haya chama.
Hivi kwenye mikutano ya chama A, bendera za chama B zinaruhusiwa? Kama ndiyo, hao wa chama A si wanaweza wakaingia na bendera za chama B huku wakijidai kuwa cha B kinaunga mkono chama A???

Hivi Mwigulu si aliwahi kumvisha mbwa bendera ya CHADEMA? Kwa hiyo leo wpte wamekuwa MBWA?
 
Hivi kwenye mikutano ya chama A, bendera za chama B zinaruhusiwa? Kama ndiyo, hao wa chama A si wanaweza wakaingia na bendera za chama B huku wakijidai kuwa cha B kinaunga mkono chama A???

Hivi Mwigulu si aliwahi kumvisha mbwa bendera ya CHADEMA? Kwa hiyo leo wpte wamekuwa MBWA?
Kumbuka ule haukua mkutano wa chama bali yalikua maadhimisho ya UKIMWI duniani it means yanamlenga kila mtanzania na sio ccm na Rais Samia Suluhu alienda pale kama mgeni rasmi
 
View attachment 2433529
Watu wengine walitaka kuona hii video wanachadema na vyama vingine walivyoungana kumpokea Rais hii inaonyesha kuwa yale maridhiano yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu yameanza kufanya kazi.

Kuna watu wengine pia wamesema kuwa kutokana na kazi kubwa aliyoifanya Rais Samia Suluhu ile Shahada aliyotunukiwa Rais Dr. Samia Suluhu ni halali maana amefanya kazi kubwa ya kutuunganisha pamoja na siku zote huwa anasisitiza tuungane kwasababu tunaijenga Tanzania moja hongera sana Rais Samia Suluhu kwa kufanikisha hili Maendeleo haya chama.
Rubbish, hao ni UVCCM wamevalishwa mavazi ya chadema na nape
 
Umetumia nini kuwaza uliyoandika hapa unaonekana hauna akili kabisa maana ata wewe utakufa
Bora kukosa akili kuliko kukosa marinda,aliyekufokoa hadi kukutatua marinda kakuweza kweli kweli bwege wewe.
 
Back
Top Bottom