Tazama viwanja vya Golf vilivyojengwa na J.Malinzi katika wilaya ya Missenyi

Tazama viwanja vya Golf vilivyojengwa na J.Malinzi katika wilaya ya Missenyi

Mathias Byabato

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2010
Posts
1,033
Reaction score
723
MALINZI+1.jpg
MALINZI.jpg

MALINZI+6.jpg

MALINZI+5.jpg


Picha za ziada na chanzo hapo chini. Hongera Jamal Malinzi
HARAKATINEWS BLOG: Viwanja vya Golf kwa Rais wa TFF Jamal Malinzi Wilayani Missenyi
 
Kwani TFF wanawajibika na golf? Si ajenge viwanja vya mpira wa mguu aonekane anajali madaraka yake?
 
Acha kudanganya watu ni Dioniz Malinzi na ndio mwenye cash anamiliki kampuni ya Cargo star.
Matola ni vyema ukaongelea jambo ambalo una uhakika nalo.
Hizo picha hapo juu ndipo mimi nilipozaliwa na kukulia pamoja na kaka yangu Dioniz na ndugu zangu wote.For some reasons ambazo sina haja ya kuzizungumzia hapa wazazi wetu baba na mama (Mungu azilaze roho zao mahali pema peponi) hawakuzikwa hapa na ndio maana familia ikaamua kupaendeleza kama unavyo paona.Taratibu za uendeshaji wa familia yetu kabla na baada ya wazazi wetu kufariki si suala la kuzungumzia hapa jf.
Ahsante.
 
Last edited by a moderator:
Matola ni vyema ukaongelea jambo ambalo una uhakika nalo.
Hizo picha hapo juu ndipo mimi nilipozaliwa na kukulia pamoja na kaka yangu Dioniz na ndugu zangu wote.For some reasons ambazo sina haja ya kuzizungumzia hapa wazazi wetu baba na mama (Mungu azilaze roho zao mahali pema peponi) hawakuzikwa hapa na ndio maana familia ikaamua kupaendeleza kama unavyo paona.Taratibu za uendeshaji wa familia yetu kabla na baada ya wazazi wetu kufariki si suala la kuzungumzia hapa jf.
Ahsante.
Kwa mtu anayefuatilia uonekanaji wako publicly na hata kwenye mitandao ya kijamii atakubaliana nami kuwa wewe ni aina ya watu tunaowaitaji katika kutukwamua kutoka tulipo. Sina maana sababu ya pesa au madaraka yako lakini kwa jinsi unavyoweza kujieleza na kujibu hoja bila kujali unajibizana na nani ili kuweka mambo sawa. Angelikuwa mtu mwingine angelisema "achana naye tu huyo..." lakini umemjibu kiungwana na ambaye haelewi atakuwa ameelewa. A kind of needed humility!

 
Hongera kwa "initiative". Ni kwa ajili ya golf club fulani au kwa matumizi ya biashara family kufanyia mazoezi na kujiburudisha?
 
Hongera kwa "initiative". Ni kwa ajili ya golf club fulani au kwa matumizi ya biashara family kufanyia mazoezi na kujiburudisha?

Hiki ni kitega uchumi. Tayari club house imejengwa,baadae itajengwa hotel ndogo.Nia ni kupafanya pawe kivutio cha utalii kwa eneo letu hili la kaskazini magharibi mwa ziwa victoria.Tayari wageni wanapaulizia na wengi wanakuja kucheza wakitokea nchi mbali mbali.Nchi nyingi duniani zinatumia golf course kama kivutio cha utalii.
 
Matola ni vyema ukaongelea jambo ambalo una uhakika nalo.
Hizo picha hapo juu ndipo mimi nilipozaliwa na kukulia pamoja na kaka yangu Dioniz na ndugu zangu wote.For some reasons ambazo sina haja ya kuzizungumzia hapa wazazi wetu baba na mama (Mungu azilaze roho zao mahali pema peponi) hawakuzikwa hapa na ndio maana familia ikaamua kupaendeleza kama unavyo paona.Taratibu za uendeshaji wa familia yetu kabla na baada ya wazazi wetu kufariki si suala la kuzungumzia hapa jf.
Ahsante.

mimi niwape hongera mkuu...kuna watu wako hapa mjini na majina na masifa yao makubwa lakini kwao ni aibu.
May God keep you all together in love and peace.
 
MALINZI+1.jpg
MALINZI.jpg

MALINZI+6.jpg

MALINZI+5.jpg


Picha za ziada na chanzo hapo chini. Hongera Jamal Malinzi
HARAKATINEWS BLOG: Viwanja vya Golf kwa Rais wa TFF Jamal Malinzi Wilayani Missenyi

Badala awachimbie maji ya visima wananchi wamshukuru anajenga viwanja vya gofu si bora angekarabati viwanja vya mipira ktk shule za sekondari na msingi
 
Dah, yaani saa nyingine ukishayaona haya manguo ya rangi hizi hata kama mtu kafanya jambo jema unalilink nayo. Inapendeza lakini....

Ukiona mfanyabiashara yeyote anajipendekeza kwa CCm, ujue kuna jambo la kihalifu analolifanya iwe ujangili au kuhusika na madawa ya kulevya hivyo kuwa karibu na magamba kunampa protection ya aina fulani!! Hivyo hawa wakina Dioniz sio bure kujiweka karibu ya Sumaye na Nape, kuna jambo nyuma ya pazia.
 
Back
Top Bottom