Mheshimiwa rais na serikali yako tunaomba uitupie macho TAZARA.
Kumekua na utendaji mmbovu mnoo na kwa muda mrefu kwenye hii taasisi.
Watendaji wakuu wamekua chanzo cha migogoro na mazingira magumu kwa wafanyakazi na wateja.
Shirika limejaa urasimu unaoharibu utendaji bora wa watendaji wa chini na wateja, hii inasababisha kuwa na huduma mbovu sana na kupoteza mapato mengi sana kama nchi.
Tazara wanafanya kazi kwa mazoea bila kufuata taratibu.
Wafanyakazi hawana vitendea kazi muhimu kadri ya mahitaji ya kazi zao, kitu kinachofanya utendaji kuwa mbovu na kazi kutofanyika kwa wakati.
Watumishi wanafukuzwa kazi bila kufuata taratibu kitu kinachoishia kuja kuligharimu shirika na kuzitesa familia zao.
Watumishi wanabambikiwa madeni kwa visingizio vya shirika kutopata taarifa zao muhimu kama imprest retirements za miaka mingi bila kusikilizwa.
Management mbovu kwenye safari za safari zimekua mbovu siku baada ya siku, wateja wanaingia gharama kulala vituoni kwa gharama kubwa sababu ya uzembe.
Niseme kwamba kanaweza kuwa na mawili; kwanza inawezekana uongozi wa tazara hauna nia dhati ya kuboresha shirika zaidi ya wakubwa kujinufaisha wenyewe kitu ambacho ni hujuma au, mbili uongozi wa tazara ni mbovu na umeshindwa kafanya ulichotakiwa kufanya na unahitaji kuondolewa na kuweka uongozi mpya.
Kumekua na utendaji mmbovu mnoo na kwa muda mrefu kwenye hii taasisi.
Watendaji wakuu wamekua chanzo cha migogoro na mazingira magumu kwa wafanyakazi na wateja.
Shirika limejaa urasimu unaoharibu utendaji bora wa watendaji wa chini na wateja, hii inasababisha kuwa na huduma mbovu sana na kupoteza mapato mengi sana kama nchi.
Tazara wanafanya kazi kwa mazoea bila kufuata taratibu.
Wafanyakazi hawana vitendea kazi muhimu kadri ya mahitaji ya kazi zao, kitu kinachofanya utendaji kuwa mbovu na kazi kutofanyika kwa wakati.
Watumishi wanafukuzwa kazi bila kufuata taratibu kitu kinachoishia kuja kuligharimu shirika na kuzitesa familia zao.
Watumishi wanabambikiwa madeni kwa visingizio vya shirika kutopata taarifa zao muhimu kama imprest retirements za miaka mingi bila kusikilizwa.
Management mbovu kwenye safari za safari zimekua mbovu siku baada ya siku, wateja wanaingia gharama kulala vituoni kwa gharama kubwa sababu ya uzembe.
Niseme kwamba kanaweza kuwa na mawili; kwanza inawezekana uongozi wa tazara hauna nia dhati ya kuboresha shirika zaidi ya wakubwa kujinufaisha wenyewe kitu ambacho ni hujuma au, mbili uongozi wa tazara ni mbovu na umeshindwa kafanya ulichotakiwa kufanya na unahitaji kuondolewa na kuweka uongozi mpya.