Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
KUAHIRISHWA KWA TRENI YA ABIRIA YA EXPRESS
Uongozi wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) inasikitika kuwatangazia abiria na umma kwa ujumla kuwa treni ya abiria ya Express iliyopangwa kuondoka Dar es Salaam kwenda Mbeya siku ya Ijumaa 6 September 2024 saa 9.50 alasiri , treni hiyo sasa itaondoka siku ya Jumamosi tarehe 7/9/2024 saa 9.50 alasiri.
Mabadiliko haya yametokana na ucheleweshaji uliojitokeza wa safari za awali kati ya Dar es Salaam na Mbeya hali iliyosababishwa na maswala mbalimbali ya kiufundi, kiasi Cha kuathiri ratiba za treni zilizofuata.
Tunaomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza na tunashukuru kwa uelewa na uvumilivu wenu, tunapojitahidi kutatua changamoto hizi za kiufundi.
Kwa msaada na taarifa tafadhali wasiliana na
Regina Tarimo,
AFISA UHUSIANO
0754373291
Uongozi wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) inasikitika kuwatangazia abiria na umma kwa ujumla kuwa treni ya abiria ya Express iliyopangwa kuondoka Dar es Salaam kwenda Mbeya siku ya Ijumaa 6 September 2024 saa 9.50 alasiri , treni hiyo sasa itaondoka siku ya Jumamosi tarehe 7/9/2024 saa 9.50 alasiri.
Mabadiliko haya yametokana na ucheleweshaji uliojitokeza wa safari za awali kati ya Dar es Salaam na Mbeya hali iliyosababishwa na maswala mbalimbali ya kiufundi, kiasi Cha kuathiri ratiba za treni zilizofuata.
Tunaomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza na tunashukuru kwa uelewa na uvumilivu wenu, tunapojitahidi kutatua changamoto hizi za kiufundi.
Kwa msaada na taarifa tafadhali wasiliana na
Regina Tarimo,
AFISA UHUSIANO
0754373291