TB Joshua hakupendwa na wahubiri wenzake

Ayaaaa mwana israel
 
Ni lini Yesu 'alianzisha' [if that] Ukristo?
Unajua maana ya neno Ukristo na asili/chimbuko la neno hilo? Kabla hatujaenda kwenye hoja ya lini ulianza
 
kanisa ni mali ya ushirika na haliwezi tetereka iwapo mtu mmoja ametwaliwa. ukiona kanisa linamilikiwa na MTU au kikundi cha watu wachache, tambua hapo hakuna kanisa, kunawafanya biashara wanaotumia injiri kama nyenzo ya utaftaji.
 
kanisa ni mali ya ushirika na haliwezi tetereka iwapo mtu mmoja ametwaliwa. ukiona kanisa linamilikiwa na MTU au kikundi cha watu wachache, tambua hapo hakuna kanisa, kunawafanya biashara wanaotumia injiri kama nyenzo ya utaftaji.
Duh
 
Chadema muda huu wanatafuta nitoke vipi kwa nguvu zote
Majuzi nilimsikiliza mbowe bada ya hiki kifo anatia huruma siutani yani Ni fedheha

Chadema Ni wakupambana na diamond na kupachika kiki bada ya kifo cha TB
Hahaha
 
Hao wajeda waende kuwasaka Boko haram, hapo SCOAN panalindwa na Holy Spirit hivyo waache kukwepa majukumu yao wawavae IS hilo ndio jukumu lao.
 
Unajua maana ya neno Ukristo na asili/chimbuko la neno hilo? Kabla hatujaenda kwenye hoja ya lini ulianza

Swali kwa swali, fanya kama sijui chochote kisha nijuze kwa kuthibitisha Yesu alianzisha Ukristo [lini?].
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…