:angry:Wandugu
please kuna channel 2 za kitanzania zinapatikan katika Eutelsat W2A (10°E),TBC 1 na channel 10. kwa sasa zaonekana ni za kulipia. je ni taratibu gani za kupata smart card?
kwa hapa nilipo siipati kabisa.iko mbali.kwangu nilikuwa napata uzuri katika Eutelsat W2A (10°E),lakini sasa imekuwa scramble.nahitaji nipate jinsi ya kuwasiliana ili hata nilipie