Mimi ni mtanzania ambaye nipo nje ya nchi,nasikitika saana juu ya hili,TBC na ni television ya taifa kuwa nyuma kwa kila kitu maana yake nini? Kwenye u-tube unakuta wanyama tu hamana cha zaidi,watu wamepost shughuli za kilimo,uwekezaji, michezo na mambo mengine mengi saana, mpaka tunaona aibu kutaja nchi yetu,.Kwa mtindo huu kupata wawekezaji ni ngumu saana,ukionyesha wanyama tu haitoshi kwani hata hela yenyewe haiwanufaishi wananchi inayolipwa na watalii. Hapa la muhimu ni kutangaza sector tofauti,maendeleo yaliyopo,matarajio na namna ya kuborsha,shughuli za uzalishaji na mambo mengi,Naomba tuamke,we are lagging more than 60 degrees uknow.!! I don't like it!!
Huko cnn ndo ucseme,nchi zinazojitangaza zinatuzidi nii sisi? Ebu mimi cshangai ila alichokisema yule billionea aliyehudhuria mkutano wa IMF ni kweli kabisa,tunapoteza muda kuomba omba na c kuweka misingi imara ya kuondokana na kuomba omba, angalia jamani kama billigate peke yake anamiliki pesa ambayo ni budget ya tanzania kwa iaka zaidi ya sita,yeye yupo peke yake na sisi tupo 45 million,ujue hapo kuna tatizo tena kubwa saana.