TBC bila Replay Taifa Stars Vs Algeria ni Aibu!

tajirijasiri

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
2,863
Reaction score
3,854
Naangalia mechi ya Taifa Stars vs Algeria kupitia TBC, cha ajabu na cha aibu move muhimu hazifanyiwi replay yoyote kwa faida ya watazamaji.

Hii ni aibu kwa television ya Taifa kuzidiwa na Television binafsi ya Azam ambayo ina ubora Mara 100 zaidi.

Wahusika mmesikia na Tafadhali kodi zetu zitumieni vizuri.
 
aibu snaaaaaaaaaaaaaa na haiingi akilini
 
We waache tuu.. kuna siku mkuu ataangalia TBC TV ghafla akiwa nyumbani... hoooo utaskia motowake
 
Kalipie DSTV uangalie SS9 kama unataka kuona replays usipende vya bure sana vina gharama!!!
 
Jaribu kuelewa usiilamu TBC wao wamelink tu, ZBC ndio wanawachanganya picha.

Umeeleweka sana, reply maana yake ni mrudio wa tukio, ni kweli TBC wamechukua ZBC, lakini so long as unayapokea mawimbi katika mitambo yako, reply unaweza ukaifanya wewe mwenyewe ukiamua bila hata kusubiri main supplier akufanyie reply, lakini kama una wataalamu vilaza, basi hiyo kwako itakuwa kusingizio tu. Kumbuka hakuna matangazo yanayokwenda public bila kuwa recorded, kwa hiyo reply ni maamuzi yako wewe mwenyewe.

Hata hivyo hata hao ZBC nao ni Shirika la Umma, kama walishindwa kufanya reply, nao ni wale wale tu.
 

Hata hao ZBC wamelink.
 

sio reply,halafu usiwe kchwa ngumu,ukchukua live huwez kufanya hzo njonjo,unawaachia kule unakochukulia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…