No comment!Kuna Mambo Mengi ya Kuelimisha Jamii Yanatusubiri ambayo Kila siku Tunaona TBC Hawawatendei Haki wenye Kodi Zao!! Ila Kwa Hili Naona Hawa TBC hakuna baya lolote ambalo wametenda!! Kwani Huwezi Kufuta vipindi vilivyopo kwenye Ratiba na Kuanza kuweka coverage ya Msiba ambao hautakuwa na Manufaa yoyote kwa wale waliobaki Hai!!
Jana ndio siku ambayo safari ya mwisho ya marehemu david wakati hapa duniani ilihitimishwa. Kwa kweli jinsi televisioni ya taifa ilivyoipa coverage hii safari, binafsi haikunifurahisha. Pamoja na kuwa marehemu aliwahi kuwa mkurugenzi wa rtd ambayo ndiyo iliyoizaa tbc.
mkuu watu wana majibu very Rude.mtoa hoja alikuwa na maan nzuri tu kwa mtu wa aina yake na ukizingatia historia ya TBC alistahiki kupata coverage ya kumbukumbu ili hata wale kizazi kipya wasiomjua wamjue nawatambue mchango wake na hata pia kujifunza kutoka kwakeUna maana David Wakati ni mtu wa kawaida?
Ninyi wavumilivu zaid ya yule mstaafu wa chama cha kijani.. Kumbe mpaka leo hii bado mnaangalia hao wapuuz wa tbc...[emoji16][emoji16][emoji16]Pole sana, Me too. Sio siri TBC ni chombo hopeless kabisa kwa watz wa kawaida...toka TM awekewe zengwe kwa kufanya kazi yake ki-professional. Kwa kweli kila iitwayo siku quality ya Programing imekuwa ikishuka...imebaki ni TV ya kuwasifia watawala.