FourTwoNet
JF-Expert Member
- Aug 4, 2022
- 1,236
- 2,512
Si juzi tu TBC wamepiga pang'ang'a mingi kwamba oooh, wanaonyesha wedi kapu....mbona tunaambulia kuona Muheshimiwa akifungua ma project ya mwendazake?
Halafu najipata nimeshikwa na hasira maanake sioni kama huyu mama anaelewa uhuni wanaotufanyia TANESCO
Yaani nimeacha kujivunia kwa mbongo, kazi ni kujivumilia kuwa mbongo. Hiyo ndio maana halisi ya "kazi iendelee".
Halafu najipata nimeshikwa na hasira maanake sioni kama huyu mama anaelewa uhuni wanaotufanyia TANESCO
Yaani nimeacha kujivunia kwa mbongo, kazi ni kujivumilia kuwa mbongo. Hiyo ndio maana halisi ya "kazi iendelee".