TBC Inachangia kushusha kiwango cha uzalendo

TBC Inachangia kushusha kiwango cha uzalendo

Mikono yenye Sugu

Senior Member
Joined
Jul 1, 2020
Posts
133
Reaction score
215
Imekuwa kawaida kwa TBC - ONE kufanya kazi ya "kusifu na kuabudu" mgombea fulani kati ya wengi waliopo kwenye kinyang'anyiro cha uchaguzi kiasi cha kukirihisha.

Imekuwa ile ya Korea Kaskazini inayofanya "personality cult" kwa kumfanya kiongozi wa nchi kuwa ndiye "mungu" jambo ambalo halifai katika ulimwengu iliostaarabika.

Wajaribu kuwa fair kwa wagombea wote ili nao (wahusika TBC) wasiwe wanaishi kwa kusutwa na dhamiri zao kwani imekuwa inatia aibu
 
Tbc inatangaza kiulewedi

TBC huwezi kukuta ikitangaza mambo ya ushoga
 
Hat cjawahi kaa niiangalie coz ipo local xan mapambio meng mpak wanabore
 
Dawa inaingia vizuri. Ninyi hamkuwatimua kwenye uzinduzi wenu kule mbagala?. Magufuli Babalao
 
Mbona na nyie mna mitandao ya kijamii huku mnatamba kwa upendeleo tena wa wazi wazi kabisa, na sisi pia tuna TBC yetu na vinginevyo, hivyo ngoma droo, nyie kaeni na mitandao yenu na sisi tuna TBC yetu, ...
 
Mbona na nyie mna mitandao ya kijamii huku mnatamba kwa upendeleo tena wa wazi wazi kabisa, na sisi pia tuna TBC yetu na vinginevyo, hivyo ngoma droo, nyie kaeni na mitandao yenu na sisi tuna TBC yetu, ...
Mbona unaandika pumba zako humu jf
 
Imekuwa kawaida kwa TBC - ONE kufanya kazi ya "kusifu na kuabudu" mgombea fulani kati ya wengi waliopo kwenye kinyang'anyiro cha uchaguzi kiasi cha kukirihisha.

Imekuwa ile ya Korea Kaskazini inayofanya "personality cult" kwa kumfanya kiongozi wa nchi kuwa ndiye "mungu" jambo ambalo halifai katika ulimwengu iliostaarabika.

Wajaribu kuwa fair kwa wagombea wote ili nao (wahusika TBC) wasiwe wanaishi kwa kusutwa na dhamiri zao kwani imekuwa inatia aibu
TV ya ovyo duniani, watanzania wanojitambua hawaangalii..upumbavu huo hata siku mmoja
 
Imekuwa kawaida kwa TBC - ONE kufanya kazi ya "kusifu na kuabudu" mgombea fulani kati ya wengi waliopo kwenye kinyang'anyiro cha uchaguzi kiasi cha kukirihisha.

Imekuwa ile ya Korea Kaskazini inayofanya "personality cult" kwa kumfanya kiongozi wa nchi kuwa ndiye "mungu" jambo ambalo halifai katika ulimwengu iliostaarabika.

Wajaribu kuwa fair kwa wagombea wote ili nao (wahusika TBC) wasiwe wanaishi kwa kusutwa na dhamiri zao kwani imekuwa inatia aibu
TBC hovyo kabisa na wanatia aibu taifa hili.
 
Ipo siku utawala huu ukianguka jengo la tbc litapigwa mawe
 
Back
Top Bottom