TBC inashirikiana na wachochezi?

TBC inashirikiana na wachochezi?

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Jana tumeona TBC Taifa wametoa habari ya Usalama Kazini na kuwahoji vijana wanaofanya kazi barabara ya Mwenge hadi Morocco.

Vyombo vingine tulijulishwa na wafanyakazi fulani wiki iliyopita lakini baada ya kufuatilia tukakuta kuwa ni harakati za vurugu kupinga kupunguzwa kazi maana mradi ndio unakwisha.

Sijui TBC wameingiaje mkenge huo kwa kushirikiana na watu ambao kimsingi wanachochea vurugu.
 
Elezea Zaidi kwamba TBC Imehoji watu wasiopaswa kuhojiwa ama wamedanganya ama ni nini
Ni kweli kabisa kama ni usalama kule kwa wachina wafanyakazi hali ni mbaya sana.
Hapa pesa imetembea tu.
 
Jana tumeona TBC Taifa wametoa habari ya Usalama Kazini na kuwahoji vijana wanaofanya kazi barabara ya Mwenge hadi Morocco.

Vyombo vingine tulijulishwa na wafanyakazi fulani wiki iliyopita lakini baada ya kufuatilia tukakuta kuwa ni harakati za vurugu kupinga kupunguzwa kazi maana mradi ndio unakwisha.

Sijui TBC wameingiaje mkenge huo kwa kushirikiana na watu ambao kimsingi wanachochea vurugu.
TBC kimeo ya vyombo vya habari.
 
Back
Top Bottom