woote mmenena ya kweli ila mimi ushauri wangu kwa tff,tafadhari wapange mechi kuchezwa tarehe 10/10/10 kwani siku hiyo ndio haswa yenye bahati kwa watanzania.mechi ikichezwa tarehe 10/10/10 tutawashinda waarabu kiurahisi sana lakini ikichezwa tarehe 9/10/10 hatutakuwa na ushindi zaidi ya sare ambayo bado haitatusaidia kitu.(haya maneno amenitumia dr.bruno munufu aliyepo safarini uarabuni).