Mpanda nyangobe
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 762
- 1,688
Ni swali hili. Kipindi cha Hayati kulikuwa na Kipindi cha kishindo cha awamu ya tano. Sasa mbona hamkiendelezi kwenye hii awamu ya Sita? Shida nini!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni awamu ya sita sio ya tano..hata number hazifananiNi swali hili.... Kipindi cha hayati kulikuwa na Kipindi cha kishindo cha awamu ya tano.. Sasa mbona hamkiendelez kwenye hii awamu ya Sita? Shida nini!?
Safi sanaMeko alipiga trilioni moja
Kwahiyo arudi mwenyew au?Awamu ya 6 haina kishindo chochote!
Kama hadi mitambo ya hapo bandarini inatukbukia kwenye maji kuna kishindo gani hapo?...
We unaonaje?Kwahiyo arud mwenyew au?
weeeee 😳 😳Awamu ya 6 haina kishindo chochote!
Kama hadi mitambo ya hapo bandarini inatukbukia kwenye maji kuna kishindo gani hapo?
Luku tu imetulaza watu giza siku 5 kuna kishindo gani hapo?
Kama sekta nyeti ya TRA network inakatika kutwa nzima kuna kishindo gani hapo?
Makusanyo ya mwezi huu ni bilioni 300 tu.
Si mnasemaga mama yenu anatakiwa kuanza upya! aachane na miundombinu ya MagufuliNi swali hili. Kipindi cha Hayati kulikuwa na Kipindi cha kishindo cha awamu ya tano. Sasa mbona hamkiendelezi kwenye hii awamu ya Sita? Shida nini!?
Tulia bana.Ni swali hili. Kipindi cha Hayati kulikuwa na Kipindi cha kishindo cha awamu ya tano. Sasa mbona hamkiendelezi kwenye hii awamu ya Sita? Shida nini!?
Kilaza wewe, miundombinu ya Magufuli ni ipi? Zile trillion moja alizokwapua mbona alizila peke yake!Si mnasemaga mama yenu anatakiwa kuanza upya! aachane na miundombinu ya Magufuli
Mnalilia lia nini Tena
Bora aje mwenyewWe unaonaje?
Mwite sasa ajeBora aje mwenyew