Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,170
- 3,067
🚮🚮🚮Kule Mbeya gadiel alishikwa akifanya Nini? USHIRIKINA
kule south waliwasha moto kuashiria Nini? USHIRIKINA
Timu hupitia madirishani kisa Nini? USHIRIKINA
Basi kurudi kinyume kisa Nini? USHIRIKINA
Huwezi kutaja ushirikina katika mifano ukawaacha hao jamaa maana wao na ushirikina ni kama Raja na mpira.
Teh teh teh kinyonge sana, sasa hivi kumevuja ndio mnakubali kuwa mna timu mbovu. Nanunua hela chakavu na Simba mbovu.Matatizo yakikuandama ndo inavyokuwa
Ni kwei Mkuu, shida zikiamua kukufuata hata ujifiche uvunguni utaonekana hata na katoto ka mwenye nyumba katasema huyu humu mnayemtafuta.Matatizo yakikuandama ndo inavyokuwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Matatizo yakikuandama ndo inavyokuwa