TBC mechi za kutangaza ni za Simba na Yanga tu?

Jacobus

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2011
Posts
4,703
Reaction score
1,724
Nimejaribu kufuatilia matangazo ya mpira kupitia TBC radio (inafahamika kama TBC Taifa) na kugundua kuwa mechi zinazo husisha timu za Simba na Yanga tu kwenye VPL hata iwe Kagera basi mechi lazima itangazwe! Hii sio sahihi kabisa, toeni haki kwa timu zote panapowezekana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…