Ndio usijaliNataka kujua Kama Leo mtaonyesha mechi ya Brazil na Serbia itakayochezwa saa nne usiku. Maana Hamna ratiba kamili mechi zipi mtaonyesha!
Kwa sisi tusiokuwa na DStv tulifarijika baada kuona mnaonyesha world cup, changamoto haijulikani mechi zipi mmepanga kuonyesha.
Hiyo haitaoneshwa, inaoneshwa hii ya mchana na Ile ya Ghana ya saa Moja tuNataka kujua kama leo mtaonyesha mechi ya Brazil na Serbia itakayochezwa saa nne usiku. Maana hamna ratiba kamili mechi zipi mtaonyesha!
Kwa sisi tusiyokuwa na DStv tulifarijika baada kuona mnaonyesha Kombe la Dunia, changamoto haijulikani mechi zipi mmepanga kuonyesha.
Bei ganiMkuu tusiwape lawama TBC hawana uwezo wa kuonyesha game zote,kama uko siriazi chukua kitu cha Dstv,mimi jana niliamu liwalo na liwe nikanunua kitu hicho 👇
Elfu 75Bei gani
Mimi nilijaribu hii nikakutana na Mch anahubiri neno la BwanaNenda kwenye (azam) other channels search 1037 manually. Utanishukuru baadae.
Hawa kawii kuzifunga... mechi zikiisha wana fungulia au wana zibqdiliNenda kwenye (azam) other channels search 1037 manually. Utanishukuru baadae.
Na DawasaSasa swali hilo hilo waulize pia Tanesco[emoji851][emoji851]
Queen, usipende kuhangaika sana na watu kama huyu mleta thread!
Sure. Pia jana kaibuka dogo fulani asiyejitambua kaanzisha Uzi, eti anauliza mechi ya Germany Vs Japan itachezwa saa ngapi? Nonsense!Ombi kwa uongozi wa JF nadhani ni wakati sahihi kuanzisha jukwaa la vyombo vya habari na watangazaji manake threads zinazohusu watangazaji na vyombo vya habari ni nyingi sana humu cc maxence mello
Nenda kwenye (azam) other channels search 1037 manually. Utanishukuru baadae.
Ya kweli haya?Kama unatumia Kingamuzi cha Azam, nenda other channels chagua GeorDavie Tv hapo utakutana na mbungi lote