Ndiyo, tutaonesha!Nataka kujua kama leo mtaonyesha mechi ya Brazil na Serbia itakayochezwa saa nne usiku. Maana hamna ratiba kamili mechi zipi mtaonyesha!
Kwa sisi tusiyokuwa na DStv tulifarijika baada kuona mnaonyesha Kombe la Dunia, changamoto haijulikani mechi zipi mmepanga kuonyesha.
Ni kweli wadau au porojo??? Tuwe serious km kweli ndgKama unatumia Kingamuzi cha Azam, nenda other channels chagua GeorDavie Tv hapo utakutana na mbungi lote
johnthebaptist kitu hicho mkuuMkuu tusiwape lawama TBC hawana uwezo wa kuonyesha game zote,kama uko siriazi chukua kitu cha Dstv,mimi jana niliamu liwalo na liwe nikanunua kitu hicho π
Jamaniiii nimechekaaaa, [emoji119]Queen, usipende kuhangaika sana na watu kama huyu mleta thread!
Yaani mtu anaanzisha thread kwa ajili ya vitu visivyokuwa na kichwa wala miguu.
Na kule dstv mpaka uwe na elfu 56 ndio utaziona mechi zot
Hakuna ukweli wowoteYa kweli haya?
Hakuna ukweli wowote
Ni kweli kaongelea na mimi nimetizama lakini hakuna kitu kama hicho,ushahidi ni kwamba hiyo channel wanaonyesha mahubiriMkuu bisha kwa ushahidi. Kuna uzi humu mdau kaongelea suala hilo
Kwa DStv ni kweli wanaonyesha na mimi nimenunua jana na enjoy soccer πππNa kule dstv mpaka uwe na elfu 56 ndio utaziona mechi zote
Ni kweli kaongelea na mimi nimetizama lakini hakuna kitu kama hicho,ushahidi ni kwamba hiyo channel wanaonyesha mahubiri
Kwa DStv ni kweli wanaonyesha na mimi nimenunua jana na enjoy soccer πππ
Mimi nilijaribu hii nikakutana na Mch anahubiri neno la Bwana
Tizama mpira huo acha malumbano,pitia comments na quotes zang itakuwa hatujaelewana sehemKuwa muelewa basi wanaolipia 23000,30000 hawaoni mechi zote. Sijui unachobishia hapa ni kipi
Tizama mpira huo acha malumbano,pitia comments na quotes zang itakuwa hatujaelewana sehem
Kisebengo [emoji1787]punguza ukurupukaji na ukisebengo
Bila shaka unatokea kanda ya ziwa karibu musomaKisebengo [emoji1787]
Hilo neno kitambo sana sijalisikia umenikumbusha dada angu alikua anapendaa sana kulitumia
Kisebengo [emoji1787]
Hilo neno kitambo sana sijalisikia umenikumbusha dada angu alikua anapendaa sana kulitumia
Lol,Bila shaka unatokea kanda ya ziwa karibu musoma
Asante sana,kutukana mtu usiyemfahamu ni kitu ambacho siwezipunguza ukurupukaji na ukisebengo
Asante sana,kutukana mtu usiyemfahamu ni kitu ambacho siwezi