Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,005
- 20,425
Nimeamua kuhama chanel sikutegemea chombo cha umma kikawa na ufedhuri na kumpuuza mtz kiasi hiki! Licha ya kongamano lenye kila sura ya kuamsha hasira ya mnyonge juu ya ubambucha wa chama cha ccm na serikali yake lakini kwamacho yangu tbc wameitangaza habari hiyo kama vile wameibia tu, yani ni kwa sekunde 15 tu huku wakimuonyesha jaji mkuu na akina cheyo na mvungi!!!