Jamani muwe fair katika kuhukumu, taarifa ya habari siyo makala, ni kipande kidogo ambayo ni summary ya jambo fulani. Pale kila kitu kimeelezwa kwa ufupi na clips za watu muhimu zimewekwa, Jaji Samata. Shivji, Mkurugenzi wa kituo cha sheria na prof Maina na ujumbe umefafanuliwa na mwandishi. Sasa si inatosha jamani, najua mlitaka ipewe kipaumbele kwasababu ndiyo kiu yetu sote kwa sasa ila kwa habari inatosha ile tena clips zile zimezidi, mbona hata ITV wameonesha kwa ufupi mno kuliko TBC halafu hamsemi? ni kweli ni kodi yenu ila mkae upande wa taaluma yenyewe, ukiweka clips za muda mrefu utachosha watu.