These pipo bana.
Wameamrishwa kuliondoa maana hiari yao hawawezi.
Wametumia kanuni ipi ya maadili YAO ya uchaguzi kuliondoa hilo banner?
Dawa ni kuwaombea njaa watu hawa
Mwanzoni nilikuwa namheshimu Tido kwa kuwa na maadili safi ya uandishi na utangazaji kumbe ni bure kabisa nashangaa alikuwa akifanyaje kazi BBC. Nimekosa autobiography yake ningeipachika hapa!