TBC wanafeli wapi?

TBC wanafeli wapi?

Muuza viatu

JF-Expert Member
Joined
May 14, 2020
Posts
3,840
Reaction score
7,920
UTV kuna mechi kati ya Brentford na wolves lkn wakat mechi inaendelea tukapitishiwa maandish chini yakieleza kuwa mechi itaendelea ZBC2 ili pale UTV waendelee na taarifa ya habar.

Nisichojua ni kuna ushirikiano gani kati ya Azam na ZBC na mpaka kupelekea azam kuipa nafas kubwa kwenye matukio kwa mfano sasa hv kuna afcon ambayo inaonyeshwa na runinga mbili tu hapa bongo ambazo ni utv na zbc2 na hata azam akiwa na matukio mengi km ya mpira mengine yanarushwa na ZBC 2.

Nadhan TBC wanapaswa kujitathmin walau nafas ya zbc2 wangekuwa wao kwa sabab TBC wamekuwa wa hovyo sana na lait km wangepata nafasi waliyokuwa nayo zbc2 pale azam labda wangejiongezea ushawish.
 
Kwa hiyo mkuu Mpira ni muhimu kuliko habari? Tena TBC1? Afadhali ungesema Mpira ungeonyeshwa TBC2 kama ilivyo ZBC 2. Matukio ya muhimu kama habari hayawezi kuwa replaced na kitu chochote kwenye TV ya Taifa.

Kwamba habari isubirishwe sababu ya mpira? 🤣🤣🤣 you can't be serious mkuu.
 
Ipo siku utaufahamu ukweli na bila shaka utakua huru zaidi Ndg Mtoa mada!
 
Usilaumu bure pengine hujui hiyo ni channel ya Taifa siyo ya mpira
Mengi ameeleza Percy
 
Zbc one ndo ya serikali hyo nyingine ni kichwa cha mwenda wazimu.
 
Back
Top Bottom