Mjanja M1 JF-Expert Member Joined Oct 7, 2018 Posts 4,058 Reaction score 14,382 Mar 21, 2024 #1 Inaweza ikawa sio jambo la kushangaza kwa nchi yetu, lakini ni kwanini kwenye mambo ya maana hawahudhurii mf. Mikutano ya Siasa na maandamano ya vyama vya upenzani, n.k? TELEVISION YA TAIFA MNAFELI PAKUBWA SANA!
Inaweza ikawa sio jambo la kushangaza kwa nchi yetu, lakini ni kwanini kwenye mambo ya maana hawahudhurii mf. Mikutano ya Siasa na maandamano ya vyama vya upenzani, n.k? TELEVISION YA TAIFA MNAFELI PAKUBWA SANA!
Kalpana JF-Expert Member Joined Jun 16, 2017 Posts 32,603 Reaction score 62,269 Mar 21, 2024 #2 Zari huo mdomo umekuwaje??? Au ndo sajaree
Mabula Msirikale JF-Expert Member Joined Nov 29, 2022 Posts 657 Reaction score 1,540 Mar 21, 2024 #3 Akili yao ndio imeishia hapo. Mambo ya udaku udaku na Mambo ya michezo.
dr namugari JF-Expert Member Joined Nov 19, 2022 Posts 10,466 Reaction score 18,206 Mar 21, 2024 #4 Kwani wao ni Nani wasifanya kinachofanyqa na media kubwa Tbc inatafuta kufatiliwa Kama vyombo vingine ndio maan inakwenda Hadi kweny press ya harmorapa
Kwani wao ni Nani wasifanya kinachofanyqa na media kubwa Tbc inatafuta kufatiliwa Kama vyombo vingine ndio maan inakwenda Hadi kweny press ya harmorapa
dr namugari JF-Expert Member Joined Nov 19, 2022 Posts 10,466 Reaction score 18,206 Mar 21, 2024 #5 Kwanza huyu zari Ana Sera gani amekuja nayo
Hannah JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 9,679 Reaction score 39,087 Mar 21, 2024 #6 Nimetafuta lile swali la The Icebreaker bado sijaliona
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 96,456 Reaction score 156,324 Mar 21, 2024 #7 Kalpana said: Zari huo mdomo umekuwaje??? Au ndo sajaree Click to expand... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kalpana said: Zari huo mdomo umekuwaje??? Au ndo sajaree Click to expand... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kaka yake shetani JF-Expert Member Joined Feb 1, 2023 Posts 5,771 Reaction score 14,732 Mar 21, 2024 #8 tv ya taifa inafanya mambo ya ovyo. na sheria hiyo tv idara zote za serikali inatakiwa kuwa on
Ndengaso JF-Expert Member Joined Jul 18, 2014 Posts 7,831 Reaction score 14,259 Mar 21, 2024 #9 TBC Hawawezi kwenda kwenye mikutano ya siasa ya chama cha upinzani, hiyo ni sawa na Israel kumpaa msaada wa Silaha Hamas. AKA Suicide
TBC Hawawezi kwenda kwenye mikutano ya siasa ya chama cha upinzani, hiyo ni sawa na Israel kumpaa msaada wa Silaha Hamas. AKA Suicide
gwang taek Member Joined May 5, 2014 Posts 68 Reaction score 117 Mar 21, 2024 #10 Em Tulia we! Huoni kama hilo ni jambo la kimataifa 😃😃 dogo nassibu anatuwakilisha vyema
BRN JF-Expert Member Joined Nov 18, 2013 Posts 5,188 Reaction score 6,633 Mar 21, 2024 #11 Tbc wanayo matawi mengine ya matangazo kwa ajili ya makundi maalum/vijana hivyo taarifa hiyo itaenda huko(radio Bongo fm)
Tbc wanayo matawi mengine ya matangazo kwa ajili ya makundi maalum/vijana hivyo taarifa hiyo itaenda huko(radio Bongo fm)
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 88,759 Reaction score 123,368 Mar 21, 2024 #12 Wanajuwa wabongo wanapenda mambo hayo...umbea umbea Ova