mkolaj
JF-Expert Member
- Mar 24, 2014
- 3,023
- 1,089
Shirika la utangazaji la Tanzania Tbc1 majanga. Wameacha kuonyesha mashindano ya afcon tangu mwanzoni lakini leo siku ya fainali waamua kurusha game live. Najiuliza kwani walishindwaje kurusha live haya mapambano toka mwanzoni!! Na wamewezaje kurusha siku ya mwisho ya fainali???