US$55million only for Beer plant??
Tanzania hatuna miradi mingine jamani?? Je wakulima wa ngano wanafaidika vipi na hili?
Je mashamba hayo ni yaleyale tunayohitaji kwa ajili ya vyakula???
I'm really disappointed by this..... Tanzania is the only country in East Africa with 5+ Beer plants.
Which booming economy is there in TZ to justify sucha capex? Ulevi ulevi ulevi........
Tatizo la nchi yetu hawaweki misingi imara ya kubenefit kutoka kwenye makampuni mbalimbali,.Watu watapata ajira lakini kununua bidhaa zetu na kuzitumia kwenye uzalishaji hili ndo la muhimu saana kwa sasa.
Nashangaa wanachukua ngano south africa ,na sukari,sasa faida za kuwa na wawekezaji zipo wapi?
Changamkeni sasa, anzisheni kampuni za ulinzi kwa kuwa TBL hawawezi kuajiri mlinzi mmoja mmoja. Wanaingia mkataba na kampuni ya ulinzi ambayo inakuwa responsible na ulinzi wa eneo zima la kiwanda. Ndivyo mambo yanavyokwenda, mkilemaa mtashangaa wanaletwa KK Security toka Dar!
Halafu Watanzania bado tuko kwenye usingizi mzito sana kwenye suala zima la uwekezaji. Yaani nilishangaa kugundua kwamba asilimia 95% ya makampuni yote makubwa ya Ulinzi ni ya wazungu!! Ukienda viwandani ndio usisema, vyote ni vya wahindi.
Watanzania wengi wanaoitwa wafanyabiashara wana maduka ya jumla, salon za kunyolea nywele, salon za kike, mwingine ana madaladala 10, mwingine ana taxi 5....Hao ndio wajasiriamali tulionao. Waliobaki wote wameajiriwa maofisini. PERIOD!!!
Inasemekana hata dili kama za EPA zimeanza miaka mingi iliyopita na zilikuwa zinawashirikisha wahindi peke yao. Walipokosea mwaka 2005 kuwaingiza Waswahili ndipo mambo yalipoharibika! Aibu!
Hawa jamaa waongo kweli, according to me the world financial meltdown itawafanya watu tunywe saaana kwani ndo tutasahau shida zetu. Sasa hawa wanahofia. We angalia nyumbani mtu anaweza asiwe na mboga lakini ya ulabu iko pale pale!
Watanzania ni wakali wa kinywaji na totoz! mambo mengine mkiani! Kwi kwi kwi!!!
Muhimu tu ni kuna ndugu zetu watapata ajira na taifa litapa mapato. Ni kuwabana tu hawa makaburu watumie ngano yetu na sio kubeba kila kitu toka kwao.
Wakati ule ukitoka ukifika Bar unaagiza kama 10 unaweka chini ya meza ..manake wanaochelewa unakuta zimeisha! Sema safari za wakati ule zilikuwa tam sana tofauti na sasa!
Sasa kama serikali inapata kodi mnalalamika nini? mnataka watu wanywe gongo anu Mnazi?
Wabongo hatuna periorities, kuanzia wananchi wenyewe, viongozi, serikali na nchi kwa ujumla. Bora tujirushe tu na mabia moto na baridi. Kili baridi yuko wapi???????
TBL ndiyo kampuni inayoongoza kulipa kodi Tanzania tukumbuke
Watu bwana!
Eti bia ni ulevi..sasa wanataka wote tunywe tu soda?
Mie soda haipandi kabisa! Sasa ninywe nini?