D DENNING Senior Member Joined Jun 22, 2011 Posts 174 Reaction score 109 Nov 12, 2011 #1 Ngudu zanguni tuliomba kazi TBL na NBC, sijasikia toka kwao au ndo wameshaita na nimetoswa?.Nijuze please.
Ngudu zanguni tuliomba kazi TBL na NBC, sijasikia toka kwao au ndo wameshaita na nimetoswa?.Nijuze please.
R RONALDO Member Joined Nov 2, 2011 Posts 84 Reaction score 9 Nov 12, 2011 #2 DENNING hii ndyo bongo kaz kujuana yawezeka wenzako wameshaanza na kaz wewe umezubaa tu unawait kuitwa ...bongo so kupata job bt uckate tamaa 2po pa 1
DENNING hii ndyo bongo kaz kujuana yawezeka wenzako wameshaanza na kaz wewe umezubaa tu unawait kuitwa ...bongo so kupata job bt uckate tamaa 2po pa 1
Biohazard JF-Expert Member Joined Aug 21, 2011 Posts 2,197 Reaction score 1,465 Nov 12, 2011 #3 NBC ni washenzi tena wa kutupa wamewapa taarifa watu kuwa wamefaulu interview na wataitwa cku yoyote kwenda kuripoti toka mwezi wa tisa mpaka leo hakuna kinachoendelea na wakipiga cm wanaambiwa nyie subirini tu.
NBC ni washenzi tena wa kutupa wamewapa taarifa watu kuwa wamefaulu interview na wataitwa cku yoyote kwenda kuripoti toka mwezi wa tisa mpaka leo hakuna kinachoendelea na wakipiga cm wanaambiwa nyie subirini tu.