TBL yaungua moto

Jafar

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2006
Posts
1,136
Reaction score
54
Usiku wa mwanzo wa siku ya leo (29 july) saa 7 usiku (01:00 am) moto mkubwa ulizuka ndani ya kiwanda cha bia (TBL) na kuteketeza masanduku matupu ya bia (yaani shells with bottles) yote yaliyokuwa yamepangwa hapo ndani. shukrani kwa wafanyakazi na makampuni binafsi ya Night Support kwa kusaidia kuuzima moto usilete madhira makubwa.

Mitambo ya kuzalishia bia imesalimika.

Ninazo picha kiasi lakini sijui jinsi ya kuzitungika humu (nipeni shule)






























 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…