TBS: Juisi ya Ceres yenye sumu haijaingia nchini

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) wamesema sharubati(Juisi) ya Ceres ambayo ilitahadharishwa kuwa na sumu kuvu haijaingia nchini Tanzania

Mamlaka ya Kimataifa ya Kudhibiti Usalama wa Chakula(INFOSAN) ambayo ipo chini ya FAO na WHO walitahadharisha kuhusu juisi hiyo

TBS walichukua hatua ya kumtembelea wakala wa usindikaji wa juisi hiyo aliyepo nchini na kukagua nyaraka na juisi zilizoko kwenye ghala
 
Kituko cha awamu ya 6

Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
 
Zimejaa madukani nchini Tanzania. TBS hawaaminiki

 
Patulin isnt that dangerous..
Mkiambiwa yaliyopo kwenye vyakula vyote mbona hamtakula...
 
Sawa kuna kipindi tuliwahi kuambiwa hata Corona haijaingia nchini , ipo kwa majiranišŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…