TBS kuandaa viwango vya Mbege na Ulanzi katika kukuza viwanda vidogo vidogo

TBS kuandaa viwango vya Mbege na Ulanzi katika kukuza viwanda vidogo vidogo

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Msemaji wa Shirika la Viwango TBS kanda ya kusini amesema taasisi yake inaandaa viwango vya pombe za kienyeji Mbege na Ulanzi ili zitengenezwe na kusindikwa katika ubora unaostahili.

Msemaji huyo amesema viwangi hivyo vitasaidia Mbege na Ulanzi ziweze kushindanishwa na Chibuku na hivyo kusaidia uchumi katika ongezeko la viwanda na ajira.

Chanzo: ITV habari za saa

My take; Hii Ilani ni kama inawapendelea Kilimanjaro ilianza treni na sasa Mbege!

Maendeleo hayana vyama.
 
Gongo imesahaulika au hili liko kwenye katiba?!
Chibuku imeishia wapi huku mtaani kwangu haipo?
 
Haya huwa hawayaoni hao wezi..wanachoona ni pale Mkuu anapoenda Chato.

Hoi mijamaa ya ukanda huo hopeless sana
 
"Bila hiki kinywaji siwezi kufanya kazi na bila hiki kinywa huwa sipati usingizi, wagema ulanzi wote nawapa pongezi wazid kugema tunywe kizazi hadi kizazi ulanzi rasilimali wanakunywa mbaka viongozi hata nikinywa komoni mm mawazo kwenye ulanzi"
 
Msemaji wa Shirika la Viwango TBS kanda ya kusini amesema taasisi yake inaandaa viwango vya pombe za kienyeji Mbege na Ulanzi ili zitengenezwe na kusindikwa katika ubora unaostahili.

Msemaji huyo amesema viwangi hivyo vitasaidia Mbege na Ulanzi ziweze kushindanishwa na Chibuku na hivyo kusaidia uchumi katika ongezeko la viwanda na ajira.

Chanzo: ITV habari za saa

My take; Hii Ilani ni kama inawapendelea Kilimanjaro ilianza treni na sasa Mbege!

Maendeleo hayana vyama.
Haya sasa ndio maendeleo!, na amini usiamini, wakifanya good packing, bottling, na preservation, amini usiamini, Tanzania tuta export sana mbege, kwasababu wanywa mbege ndilo kabila linaloongoza kwa kuishi mamtoni!, usikute hata zile safari za kwenda kuhiji Mgombani Kipindi cha Krisimasi, kinachofatwa kule ni mbege tuu ya Moshi.

Ukiona vi ford vya Moshi-Arusha jinsi vinapeleka mbege Arusha mtaelewa. Hata bar za mbege hapa Dar zinafunga sana, ila eneo pia pawepo na ile kitu!.
P
 
Msemaji wa Shirika la Viwango TBS kanda ya kusini amesema taasisi yake inaandaa viwango vya pombe za kienyeji Mbege na Ulanzi ili zitengenezwe na kusindikwa katika ubora unaostahili.

Msemaji huyo amesema viwangi hivyo vitasaidia Mbege na Ulanzi ziweze kushindanishwa na Chibuku na hivyo kusaidia uchumi katika ongezeko la viwanda na ajira.

Chanzo: ITV habari za saa

My take; Hii Ilani ni kama inawapendelea Kilimanjaro ilianza treni na sasa Mbege!

Maendeleo hayana vyama.
Natumaini kiwanda changu cha kutengeneza gongo laini kitapata kibali cha hiyo mamlaka.
 
Haya sasa ndio maendeleo!, na amini usiamini, wakifanya good packing, bottling, na preservation, amini usiamini, Tanzania tuta export sana mbege, kwasababu wanywa mbege ndilo kabila linaloongoza kwa kuishi mamtoni!, usikute hata zile safari za kwenda kuhiji Mgombani Kipindi cha Krisimasi, kinachofatwa kule ni mbege tuu ya Moshi.

Ukiona vi ford vya Moshi-Arusha jinsi vinapeleka mbege Arusha mtaelewa. Hata bar za mbege hapa Dar zinafunga sana, ila eneo pia pawepo na ile kitu!.
P

Hapo mwisho umekosea au?”ile kitu!”
Au ile kiti??🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hakika hii serikali inatujali sisi wananchi Wa hali ya chini (viva John wanaye kuita yohana wayahudi)
 
Haya sasa ndio maendeleo!, na amini usiamini, wakifanya good packing, bottling, na preservation, amini usiamini, Tanzania tuta export sana mbege, kwasababu wanywa mbege ndilo kabila linaloongoza kwa kuishi mamtoni!, usikute hata zile safari za kwenda kuhiji Mgombani Kipindi cha Krisimasi, kinachofatwa kule ni mbege tuu ya Moshi.

Ukiona vi ford vya Moshi-Arusha jinsi vinapeleka mbege Arusha mtaelewa. Hata bar za mbege hapa Dar zinafunga sana, ila eneo pia pawepo na ile kitu!.
P
Kitimoto?
 
Hayo yoote kwakuwa wameona ni vinywaji vinavyopendwa na wale wakaguru wa (darbrew)chibuku wametimka kwa kukimbia likodi lao sasa wameona na mbege na ulanzi waiweke kwenye soko ili ilipiwe kodi.
Kama ni hivyo basi na mnazi kangala dadii chimpumu togwa na wanzuki iwekwe kwenye hiyo losti ili nazo ziheshimiwe.
Msemaji wa Shirika la Viwango TBS kanda ya kusini amesema taasisi yake inaandaa viwango vya pombe za kienyeji Mbege na Ulanzi ili zitengenezwe na kusindikwa katika ubora unaostahili.

Msemaji huyo amesema viwangi hivyo vitasaidia Mbege na Ulanzi ziweze kushindanishwa na Chibuku na hivyo kusaidia uchumi katika ongezeko la viwanda na ajira.

Chanzo: ITV habari za saa

My take; Hii Ilani ni kama inawapendelea Kilimanjaro ilianza treni na sasa Mbege!

Maendeleo hayana vyama.
 
Uchokozi huo!!
Haya sasa ndio maendeleo!, na amini usiamini, wakifanya good packing, bottling, na preservation, amini usiamini, Tanzania tuta export sana mbege, kwasababu wanywa mbege ndilo kabila linaloongoza kwa kuishi mamtoni!, usikute hata zile safari za kwenda kuhiji Mgombani Kipindi cha Krisimasi, kinachofatwa kule ni mbege tuu ya Moshi.

Ukiona vi ford vya Moshi-Arusha jinsi vinapeleka mbege Arusha mtaelewa. Hata bar za mbege hapa Dar zinafunga sana, ila eneo pia pawepo na ile kitu!.
P
 
Back
Top Bottom