TBS imetoa tangazo na muda kwa wenye biashara tajwa hapo juu kujiandikisha.
Jambo la kwanza ni kuwa muda waliotoa ni mfupi sana kwa mfano kwa posho mills ambazo zimesambaa mpaka vijijini sidhani kama muda huo utatosha.
La pili, ndani ya website yao hakuna application form kwa ajili ya kuomba usajili.
Tunaomba maelezo zaidi na ikiwezekana dhamira ya hatua hii,ni kutaka kuboresha kitu gani?
Jambo la kwanza ni kuwa muda waliotoa ni mfupi sana kwa mfano kwa posho mills ambazo zimesambaa mpaka vijijini sidhani kama muda huo utatosha.
La pili, ndani ya website yao hakuna application form kwa ajili ya kuomba usajili.
Tunaomba maelezo zaidi na ikiwezekana dhamira ya hatua hii,ni kutaka kuboresha kitu gani?