Mke wa muheshimiwa ni mgalatia mwenzetu Nini? Naona hajajitandaa. Hii imekaaje kwa ndugu zetu upande wa pili?Picha[emoji1313][emoji1313]View attachment 2330187
Imeruhusisiwa Muislamu kumuoa mkiristo hata myahudi ila si ruhusu kwa Binti wa kiislamu kutolewa na mtu wa dini tofauti .Mke wa muheshimiwa ni mgalatia mwenzetu Nini? Naona hajajitandaa. Hii imekaaje kwa ndugu zetu upande wa pili?
adriz Mlolongo Bwana Utam STRUGGLE MAN Dalmine
Duuu[emoji849]Imeruhusisiwa Muislamu kumuoa mkiristo hata myahudi ila si ruhusu kwa Binti wa kiislamu kutolewa na mtu wa dini tofauti .
Ila salama kwa usalama zaidi ni vyema kuoa Muislamu mwenzio na hii mada ina upana wake mashekhe na wanazuoni wakubwa wameelezea zaidi kwa wigo mpana.View attachment 2330245
Kumbe quran imewaruhusu kuoa watu wa imani nyingine? Pia naona quran inatambua kwamba wenye maandiko ni wakristo na wayahudi..
Kwa hiyo. Waislam hawaruhusiwi kuoa hawa?Imeruhusisiwa Muislamu kumuoa mkiristo hata myahudi ila si ruhusu kwa Binti wa kiislamu kutolewa na mtu wa dini tofauti .
Ila salama kwa usalama zaidi ni vyema kuoa Muislamu mwenzio na hii mada ina upana wake mashekhe na wanazuoni wakubwa wameelezea zaidi kwa wigo mpana.View attachment 2330245
Acha dharauUmetowa wapi hii nyara ya serikali ? ,Ila kajamaa Ni kafupi, trust me hapo kamesimama hakajakaa[emoji16]
First lady mrembo sanaPicha[emoji1313][emoji1313]View attachment 2330187
Umejuaje Kama Mimi Nina utani nae ? Unajua umri wangu ?Acha dharau
Mbona sioni ushungi kwa aaa?
Kwahiyo unabisha?
Naona kifuani Apple zimetulia tuliiPicha[emoji1313][emoji1313]View attachment 2330187